Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,537
- 34,855
Mmeamua kumtumia Makonda kutafuta kiki.Taarifa za Wakili wa Kubenea inasema kwamba Makonda hakupokea wito wa Mahakama kwa vile hapatikani , aweza kuwa kajificha au kakimbia nchi .
Mmeamua kumtumia Makonda kutafuta kiki.Taarifa za Wakili wa Kubenea inasema kwamba Makonda hakupokea wito wa Mahakama kwa vile hapatikani , aweza kuwa kajificha au kakimbia nchi .
Unatafutaje kiki kwa mtu aliyekwisha ?Mmeamua kumtumia Makonda kutafuta kiki.
Hahaaaaa......😁😂Duh! Atakuwa anaishi kama digidigi. Kama katoroka labda atakuwa South Africa
Naunga mkono hoja kubenea ni chambo tu wa kulianzisha wenye kesi wapo pembeni a.k.a Rizi moko na genge lake.Na wasiojua hawa wafuasi wa Makonda, nyuma ya Saed kuna back up kubwa sana ya matajiri walioumizwa na mkolomije.
Kubenea ni kivuli tu.!
Yupo gamboshi akitengeneza vinyunyiziAmefikia hatua ya kuishi kwa mama mkwe!!
Acha ujinga unatutukana wengi kwa sentensi yako hiiDhuu kweli dunia inazunguka kwa kasi sana.
Yaani nawaonea huruma sana hao walojipinda hapo na misaluti yao
Mijitu ambayo haina shule inampigia saluti mwenzao aleye feli kama wao
Only in Tz
Huwa hawajifunzi kabisaMakonda ni somo zuri sana pamoja na Sabaya.
Kuwa leo umeketi mezani na wakuu, usiwatukane wenzio kwani mkuu mpya atakuja na walaji wapya.
Basi mimi na wewe tujifunze kupitia kwaoHuwa hawajifunzi kabisa
Makonda ana uwezo wa kumshughulikia aliyefungua hiyo kesi uchwara halafu muanze kulalamikaMahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni,imeahirisha kesi ya jinai namba 1/2022, dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda,hadi Februari 8...
Kama mimi ningekuwa Makonda , nisingepokea wito wa kipumbavu kama huoBasi sawa. Atafutwe apokee wito wake kwa bashasha.
Hapa kinachoonekana BADO HAKIMU ANASOMA UPEPO UNAELEKEA WAPI...Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni,imeahirisha kesi ya jinai namba 1/2022, dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda,hadi Februari 8...
Kwani Bashite ni mumeo? Maana hata uwe mnafiki vipi huwezi kumtetea Makonda unless ni mkewe au Basha wake maana Bashite yasemekana siyo ridhikiMmeamua kumtumia Makonda kutafuta kiki.
ako ndio nini?Kwa hiyo Makonda ako juu ya sheria anaamua aende Mahakamani au asiende ?