Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Nikimtazama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda namuona anafaa zaidi kutumikia Wizara husika.
Kasoro naiona ipo kwenye habari tu hapo, lakini sanaa, utamaduni na michezo atamudu kwa sababu ana mapenzi navyo.
Makonda ana ujana mwingi na anapenda kazi za sanaa hasa michezo, muziki na filamu. Hata maisha yake amekuwa akijiweka karibu sana na wasanii.
Mimi nashauri apelekwe huko huenda akafanya kitu cha maana kwa vile ana passion, japo itambidi awe na mikakati ya dhati kama anataka kufanya mapinduzi hususan kwenye eneo la Sanaa na Burudani. Na sio publicity stunts!
Dkt. Mwakyembe apewe Ukuu wa Mkoa? Sijui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasoro naiona ipo kwenye habari tu hapo, lakini sanaa, utamaduni na michezo atamudu kwa sababu ana mapenzi navyo.
Makonda ana ujana mwingi na anapenda kazi za sanaa hasa michezo, muziki na filamu. Hata maisha yake amekuwa akijiweka karibu sana na wasanii.
Mimi nashauri apelekwe huko huenda akafanya kitu cha maana kwa vile ana passion, japo itambidi awe na mikakati ya dhati kama anataka kufanya mapinduzi hususan kwenye eneo la Sanaa na Burudani. Na sio publicity stunts!
Dkt. Mwakyembe apewe Ukuu wa Mkoa? Sijui.
Sent using Jamii Forums mobile app