Amani bm 150
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 315
- 487
We jamaa kama umeajiriwa mahali utakuwa snitch sana huko kazini kwenu.
Eti Nape alikoswakoswa kupigwa risasi ya "utosini".
Hahaa laivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa kama umeajiriwa mahali utakuwa snitch sana huko kazini kwenu.
Eti Nape alikoswakoswa kupigwa risasi ya "utosini".
Panga la Mawaziri limepita, bado la Rc's.
Je Makonda naye akirudishwa kwenye nafasi yake utaanzisha uzi wenye kichwa cha habari kinachosemaje?
Makonda ni kiongozi Mzuri sema alikuwa anatumika tu na boss wake kwa maslahi ya boss wake basi.
Ukiondoa huo utii uliompaka matope ni kiongozi kijana mzuri anaejua kufanya kazi kwa weredi
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
T45217DAB"Nasema, katika mtu anaekula raha sana duniani ni mimi. Mimi ndio mtu naekula raha kuliko mtu mwingine duniani." alisikika kichaa mmoja akinena mbele ya hadhara.