Habari wakuu
Hivi karibuni mh tundu lissu kupitia vyombo vya habari vya kimataifa amedai ana ushahidi kuwa serikali ya mh magufuli ndio imehusika na shambulio lake.Jambo ambalo ni zuri kama akiwakilisha evidence zake kwa nini anahisi hivyo kwa jeshi la polisi ili kusaidia uchunguzi na kuwezesha haki kufanyika .Hivyo tunamuomba tundu lissu arudi nchini asaidie uchunguzi coz hao bbc cnn dw sio polisi na hawawezi kumsaidia kisheria zaidi zaidi tunamuona kama kitruko
Yamemkuta!Asije kesho akalia tena kanisani. Awe makini na anayoyaandika.
Anajulikana huyu jina lake ni : Paulo Bashite Makonda wa kijiji cha Kolomije. We know him!Mtu asiejulikana
Siku hazigandiWe masikini nakuonya mara ya mwisho achana na Lissu , Mh Lissu si wa kupambana na dagaa kama wewe .
Usihangaike hii ni thread ya 2019Sijamaliza kusoma Ila nauliza kwani Lissu ni mbunge wa wapi au Kuna ujinga unaendelea wa makonda ???
Lissu ni mbunge wa Jimbo gani? Pia makonda na Lissu wapi na wapi? Dogo amechemka amalozane na GSM na ule mkataba wake feki anabandika picha juu ya mhuri na ananunua kiwanja Ada Estate kwa milioni 120
Mkitoka vijijini mkipata nafasi muwe mnatulia na kuuliza kwa wenyeji wa mjini sio kujifanya unatunisha makalio mji mzima.
Aaaah thanks man 👊 watu wanafufua mathread ya zamani hayapo relevant.Usihangaike hii ni thread ya 2019
HakikaTusipepese macho Paul Makonda ndiye aliyeongoza kikundi cha Wasiojulikana kilichomshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017 kwa ridhaa ya Jiwe