LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,125
- 11,114
Kipindi Paul Makonda akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Jiji zima likikuwa lake yaani alikuwa kama mfalme wa Dar maana alijiamini kupitiliza sababu aliyemteua alimvimbisha kichwa akajiona amefika
Enzi hizo Paul alikuwa na wapambe kila kona, wasanii wote walimuita Baba, Wcb wakamuita mlezi wao yaani wasanii walikuwa wanajipendekeza na kumpamba balaa mitandaoni kuanzia Diamond hadi hao akina Shilole ilikuwa ni balaa
Ukija kwa wapambe wake A.K.A Chawa, Chawa mkuu wa Makonda alikuwa ni Lecoconanga nyenyenye, Le Mutuz alikuwa akimpamba Makonda zaidi ya ndugu yake yaani alikuwa anamuita makonda Le commandant fidel marshal sjui
Makonda alikuwa na wapambe wa kumwaga yaani ilikuwa ikifika siku ya Birthday yake istagram nzima ya wasanii inampamba
Ila cha kusikitisha tokea apigwe chini kiladaraka, wale wapambe wake wote kwa sasa ni kama hawamjui wote wamemkimbia huyo lemutuz ndio kabisa skuizi ni kama hawafahamiani yani , hapo ndipo utakapojua kuwa hata wewe ukiwa na madaraka au vijisenti jua wengi watakaokupamba ni wanafki wa hali ya juu yaani utapata marafiki wengi wanafki na wachache wa ukweli
Enzi hizo Paul alikuwa na wapambe kila kona, wasanii wote walimuita Baba, Wcb wakamuita mlezi wao yaani wasanii walikuwa wanajipendekeza na kumpamba balaa mitandaoni kuanzia Diamond hadi hao akina Shilole ilikuwa ni balaa
Ukija kwa wapambe wake A.K.A Chawa, Chawa mkuu wa Makonda alikuwa ni Lecoconanga nyenyenye, Le Mutuz alikuwa akimpamba Makonda zaidi ya ndugu yake yaani alikuwa anamuita makonda Le commandant fidel marshal sjui
Makonda alikuwa na wapambe wa kumwaga yaani ilikuwa ikifika siku ya Birthday yake istagram nzima ya wasanii inampamba
Ila cha kusikitisha tokea apigwe chini kiladaraka, wale wapambe wake wote kwa sasa ni kama hawamjui wote wamemkimbia huyo lemutuz ndio kabisa skuizi ni kama hawafahamiani yani , hapo ndipo utakapojua kuwa hata wewe ukiwa na madaraka au vijisenti jua wengi watakaokupamba ni wanafki wa hali ya juu yaani utapata marafiki wengi wanafki na wachache wa ukweli