Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,598
Pale Sahara hata mishahara taabu. Ni vile Diallo hakuwa na choice. Mwanasheria mwenyewe hata law school hajasoma.Kuna mti
Kuna mtu amenitonya kua kutokana na umahiri wake kwenye sheria, Diallo alishawishika kumuajiri kama mwanasheria wa Sahara media.