Paul Makonda akutana na Viongozi wa madhehebu na Taasisi za dini, asema anayoyafanya Rais Magufuli yanazidi maelekezo ya ilani ya CCM

uyu dogo baada ya juzu baba yake kumkazia kumpa mkono anataka mshawishi tena baba kwa matukio ya kijinga jinga wakati baba ashamkataa 😀😀😀😀

Usishangae kesho akaandaa tamasha la wasanii waimbe kuisifu awamu ya tano, lakini pamoja na yote tukumbuke

Awamu ya tano imefukuza watu kazi serikalini aijaongeza watumishi serikalini

Awamu ya tano imeongeza riba kwa wanaufaika wa mikopo elimu ya juu haijaongeza kiwango cha mkopo kwa wanafunzi elimu ya juuu

Mshahara watumishi wa umma imebaki story hajafanya lolote lile

Sasa hao viongozi wa dini wanasifia nini
 
Ni katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.

Karibu!

Kardinali Pengo na Sheikh wa mkoa kwa niaba ya Mufti wanauombea mkutano huo.

Sasa viongozi wa dini wanaangalia mkanda wa video unaomuonyesha RC Makonda akitolea ufafanuzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Nani?

Bashite?

Hahhahahaaaaa

Hua anatumia watu kama kondomu!

Niggas never learn!
 
Nimemsikia mh Makonda akielezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5.
Amegusia machinjio ya vingunguti amesema mnyama anaingia mzima lakini anatoka vipande vya nyama kwa maana hiyo swala la kuchinjwa halipo.

Kwa sisi waislamu haturuhusuwi kula kibudu.
Lazima mnyama aliye halalishwa kuliwa apitie hatua zote za uchinjwaji, hivyo kwa utaratibu huo mpya na wa kisasa ni kinyume na mafundisho ya mtume Mohammed S.W.

Hivyo wanyama wachinjwe kama kawaida mengine yafanywe kwa machine.
 
Awamu hii inafanya uharibifu wa kisiasa, Mungu hujibu kwa moto..wait and see
God Is Not Stupid

God will burn this people for their mockery over him....

Wait and see!!

Cheza na vyote sio nguvu za Mungu

Zitawaangamiza na kuwaponda vipande vipande na halitosalia jiwe juu ya jiwe

Na mseme Amina!!!...
 
Hebu fanya utafiti uelewe alikuwa anamaanisha nini. Kwani viwanda vya kusindika nyama kwenye nchi za kiislamu hufanyaje???? Mh. Makonda alikuwa anazungumizia process zote za machinjio ki ujumla.
 
Back
Top Bottom