Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,459
- 697
"Mpaka atakaporidhishwa na utendaji wa kazi" Sasa atarishwaje wakati kawazuia kupata tender? Hapo ni kwamba wamefutwa kufanya kazi dar 4ever!Habari wanaJF,
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mshimiwa Paul Makonda leo amechukua hatua ya kuzisimamisha na kusitisha Kampuni ya Inshinomya Co. LTD na kuyasimamisha Makampuni mengine ya kujenga barabara ya Germinex construction LTD, Del Monte (T) Ltd na Skol Building Contraction katika Mkoa wa Dar es salaam
Hii ni kutokana na kujenga barabara chini ya kiwango na kuagiza makampuni haya kutopewa tenda yeyote kwenye Mkoa wa Dar es salaam mpaka Mkuu wa Mkoa atakapojirizisha na utendaji wa kazi kwa Makampuni hayo.
Habari wanaJF,