Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,293
- 217,281
Taarifa zilizotolewa kwa waandishi wa Habari Mjini Dar es salaam , zinaeleza kwamba Rais wa Rwanda , Paul Kagame atatua nchini Tanzania Kesho kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku 2 .
Ambako atapokelewa na Mwenyeji wake Samia Suluhu Hassan , ambaye ni Rais wa Tanzania .
Toa Maoni yako
Ambako atapokelewa na Mwenyeji wake Samia Suluhu Hassan , ambaye ni Rais wa Tanzania .
Toa Maoni yako