Kagame anapata sifa nyingi sana hasa kwenye vyombo vya habari vya magharibi lakini ukweli ni kwamba sababu kubwa ya kupendwa ni kwamba yeye pamoja na Museveni ndio walinzi wakuu wa western interests katika great lakes region (hasa Marekani).
Katika historia ya Afrika Mashariki na kati hakuna mtu aliyehusika kuua watu wengi zaidi either directly au indirectly kama Paul Kagame.
Report ya ICTR (International criminal tribunal for Rwanda) ilipata Ushahidi wa kutosha kumshitaki Kagame kwa Genocide kwamba yeye na majeshi yake ndio chanzo kikuu kilichosababisha mauaji ya Kimbari ya mwaka 1994 .
Wamarekani walikataa kufuatilia matokeo ya uchunguzi wa ICTR kwa sababu zao wenyewe. ICTR ilitoa maujumisho yafuatayo kuhusu ni nani aliyetungua ndege iliyomuua Habyarimana.
1) Frank Nziza wa RPA( RPF sasa) ndiye aliyekuwa mkuu wa timu ya RPF iliyotungua ndege. Huyu alikiri kuwa ndiye aliyefyatua mizinga iliyotungua ndege
2) Matayenga Nyakarundi (wa RPF) ndiye aliyempa Frank hayo makombora mawili yaliyosafirishwa kwenda Masaka ( Rwanda, karibu na airport) ambapo yalitumika kutungua ndege.Makombora yalifichwa kwenye shamba la Didier Mazimpaka, karibu na uwanja wa ndege.
3) Kayumba Nyamaswa( sasa yuko South Afrika) alihudhuria mikutano mitatu ndani ya RPF iliyopanga kutungua ndege. Mikutano hiyo ilikuwa ‘chaired’ na Paul Kagame.Kayumba alisha kiri kuwa RPF ilitungua hiyo ndege.
4) Serial numbers za Kombora lililotumika kutungua ndege zilikuwa traced mpaka kwenye maghala ya silaha ya jeshi la Uganda. Makombora ya namna hiyo hayajawahi kutumika katika jeshi la Burundi. Kumbuka RPF ilikuwa sehemu ya jeshi la Uganda( waasi) na walitumia silaha zilizotoka Uganda.
Kuna report ya wafaransa pamoja na nyingine ya serikari ya Spain ambazo zilitoa majumuisho hayohayo kwamba RPF ndio waliotungua ndege ya Habyarimana. Kagame aliua watu wengi sana Rwanda (maelfu kwa maelfy ya wahutu) pamoja na wacongo( kutoka ripoti za mashirika ya haki za kibinadamu) lakini kwa sababu ni mtoto mteule haguswi na mtu yoyote.
Kagame hakupenda mapatano yaliyokuwa yanazumgumzwa Arusha, ambapo walikubaliana kugawana madaraka na Habyarimana .Wakaamua kutungua ndege ili wachukue madaraka peke yao kwa kuwa jeshi lao kwa wakati huo lilikuwa na nguvu kuliko la Burundi.
Ila mwishoni, kama ilivyotokea kwa Mobutu, Wamarekani watamchoka na siku hiyo ikija, hatakuwa na pa kukimbilia, na madhambi aliyoyafanya yatalipizwa kisasi na wanyarwanda na waathirika wengine wengi wa RPF maziwa makuu.
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Katika historia ya Afrika Mashariki na kati hakuna mtu aliyehusika kuua watu wengi zaidi either directly au indirectly kama Paul Kagame.
Report ya ICTR (International criminal tribunal for Rwanda) ilipata Ushahidi wa kutosha kumshitaki Kagame kwa Genocide kwamba yeye na majeshi yake ndio chanzo kikuu kilichosababisha mauaji ya Kimbari ya mwaka 1994 .
Wamarekani walikataa kufuatilia matokeo ya uchunguzi wa ICTR kwa sababu zao wenyewe. ICTR ilitoa maujumisho yafuatayo kuhusu ni nani aliyetungua ndege iliyomuua Habyarimana.
1) Frank Nziza wa RPA( RPF sasa) ndiye aliyekuwa mkuu wa timu ya RPF iliyotungua ndege. Huyu alikiri kuwa ndiye aliyefyatua mizinga iliyotungua ndege
2) Matayenga Nyakarundi (wa RPF) ndiye aliyempa Frank hayo makombora mawili yaliyosafirishwa kwenda Masaka ( Rwanda, karibu na airport) ambapo yalitumika kutungua ndege.Makombora yalifichwa kwenye shamba la Didier Mazimpaka, karibu na uwanja wa ndege.
3) Kayumba Nyamaswa( sasa yuko South Afrika) alihudhuria mikutano mitatu ndani ya RPF iliyopanga kutungua ndege. Mikutano hiyo ilikuwa ‘chaired’ na Paul Kagame.Kayumba alisha kiri kuwa RPF ilitungua hiyo ndege.
4) Serial numbers za Kombora lililotumika kutungua ndege zilikuwa traced mpaka kwenye maghala ya silaha ya jeshi la Uganda. Makombora ya namna hiyo hayajawahi kutumika katika jeshi la Burundi. Kumbuka RPF ilikuwa sehemu ya jeshi la Uganda( waasi) na walitumia silaha zilizotoka Uganda.
Kuna report ya wafaransa pamoja na nyingine ya serikari ya Spain ambazo zilitoa majumuisho hayohayo kwamba RPF ndio waliotungua ndege ya Habyarimana. Kagame aliua watu wengi sana Rwanda (maelfu kwa maelfy ya wahutu) pamoja na wacongo( kutoka ripoti za mashirika ya haki za kibinadamu) lakini kwa sababu ni mtoto mteule haguswi na mtu yoyote.
Kagame hakupenda mapatano yaliyokuwa yanazumgumzwa Arusha, ambapo walikubaliana kugawana madaraka na Habyarimana .Wakaamua kutungua ndege ili wachukue madaraka peke yao kwa kuwa jeshi lao kwa wakati huo lilikuwa na nguvu kuliko la Burundi.
Ila mwishoni, kama ilivyotokea kwa Mobutu, Wamarekani watamchoka na siku hiyo ikija, hatakuwa na pa kukimbilia, na madhambi aliyoyafanya yatalipizwa kisasi na wanyarwanda na waathirika wengine wengi wa RPF maziwa makuu.
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app