Paul Kagame: Dikteta katili anayefugwa na Wamarekani

INTARAHAMWE ni Wanyarwanda kama wengine

Kuna kitu wanakipigania,madai yao yapo wazi...wewe ulitaka waseme nini?

Kagame kabla hajawa rais na yeye alikua Intarahamwe msituni akiisumbua serikali kama walivyo Intarahamwe wa sasa

Sasa wewe unataka tumuone Kagame mungu wengine sio watu maana kagame nae alipitia the same method.

Intarahamwe Rwanda ni kwao,huna namna,huwezi wanyima hiyo haki,kila siku watamsumbua mpaka waje kumuua,hakuna namna!

Kikwete alisema ni vyema akakaa nao mezani wakasikilazana,otherwise ategemee siku moja watamchinja regardless.

Mengine unayoongea ni blah blah za Kagame zisizo na kichwa wala miguu maana na yeye ni pumbavu kama walivyo wengine.

Kagame ni mjinga kiasi kwamba anaua mwanamuziki wa nyimbo za dini Kizito,kwa kutomuunga mkono yeye!

Yaani unaua mwanamuziki wa nyimbo za dini?Like,really?
Inferiority complex unaua mtu asiyemiliki hata panga.Thus anamiliki KILA kitu lkn amiliki amani ya moyo hofu ya kupinduliwa
 
Nimeishi Rwanda aise ile nchi siyo, hakuna uhuru wa media kama Tanzania. Media za ndani utadhani zote ni za serikali.
Kila mtu anaishi kwa kushuku kuwa anaweza kuuawa muda wowote. Ukiwa mgeni unafuatiliwa sana, kila mgeni anahisiwa ni mjasusi. Ukitaka kupata ukweli uliza hata madereva wanaosafirisha mizigo.
 
Nimeishi Rwanda aise ile nchi siyo, hakuna uhuru wa media kama Tanzania. Media za ndani utadhani zote ni za serikali.
Kila mtu anaishi kwa kushuku kuwa anaweza kuuawa muda wowote. Ukiwa mgeni unafuatiliwa sana, kila mgeni anahisiwa ni mjasusi. Ukitaka kupata ukweli uliza hata madereva wanaosafirisha mizigo.
North korea ya Afrika
 
Achana na propaganda, kagame kaiweka Rwanda vizuri na ni salama sana, hakuna rushwa, sheria zinafuatwa etc na uchumi unakua vizuri, naona unataka kuwarudisha wauaji wenzako interahamwe
Ili uwe salama lazima uwe kwenye upande wa kusifia na kuabudu kila kinafanywa na mamlaka na ndio maana wale wote waliojaribu kuleta mawazo mbadala wengi wao walishazikwa wakiwemo marafiki zake wa karib na kuhusu rushwa hakuna sehem isiyokuwa na rushwa dunian huwa tunatofautiana kiwango tu.
 
Mwisho ndio hao hao watamuua

Kuna dikteta yeyote dunia hii aliefugwa na Wamarekani akaja kupona?

No one!

Anajidanganya tu....end of the day they will depose him right away wataweka mwingine!

Watch this space!

View attachment 1959926
They call it balance and check.
Hata hivyo Kagame ameumiza wengi ndani ya nchi yake. Huwa naamini mwisho wake utatokana na watu wa ndani.
 
Siku watamchoka wataweka mwingine

Kagame anajiona Mungu sana

Na kibaya ameanza kuchokonoa other countries..siku anagusa pabaya ndio inakua mwisho wake

Kasenge sana..kanajiitaga wao eti ni Waisrael....what a stupid dillusional clown!

Wamarekani wanamtumia,na end of the say watamuua wataweka wengine....Anatumika kama condom tu

Amejisahau sana,anajiona kama Mungu yaani...

Mimi anapoua watu innocent kabisa ndio anaponiudhi....

Kuna siku alituma watu wakaue watu Africa Kusini,nusura SA wafanye retaliation ya vita kabisa,kakaomba amani

Kuna siku alimzengua Museveni,kidogo kapigwe kakaomba msamaha

Kuna siku kalimchokonoa Kikwete,kidogo kapigwe kakaomba amani

Sasa huu upumbavu siku kanagusa kwa kichwa maji ndio atajua maharage ni mboga....Naomba siku akachezee Kenya aone atakachofanyiwa

Kapumbavu sana...na wanadamu washakachoka....kila siku kanaua watu tu mpaka watu tunashangaa yaani!
Ile na Kikwete ndipo nilipoona faida na hasara ya kuwa na ex-military president were nearly to fight. Kikwete alikuwa anatembea na detail ya jeshi muda mwingi...then akawapa JW operesheni Kimbunga....service men waliambiwa wawe kambini muda wote...na walipewa siraha...hii ilijuimuisha hadi form six leavers kwa mujibu. Nilitamani tungempiga slim
 
Mleta mada una agenda zako au ni one of interahamwe mliofanya genocide then kagame akawapa kichapo sasa mnarandaranda mitaani mnaogopa kurudi kwenu, kagame ni one of the best President kutokea Africa na matokeo yanaonekana, nilikuwa Rwanda not long ago sikuamini macho yangu na wakati mwingine unaweza kuwa confused kama uko first world country, kwa speed waliyonayo rwanda sio muda mrefu Rwanda ikawa katika standard za nchi nyingi za ulaya, na uliposema report kutoka France ilibidi nicheke tuu, TZ ingekuwa na Kagame na ule utajiri nafikiri tungekuwa tunashindana na South Africa au tumewapita
acha uongo eti rwanda first word? ile nchi bado masikini sana alaf inategemea kuishi kwa kuiba Congo, mpaka leo kidonda cha kuchinjana hakijaisha ni suala la muda tu watachinjana tena, alaf Kagame sio best president sababu bado ni mkabila na pia ni muuaji hataki akosolewe, ukiwa tu mpinzani wake anakuua aua anakuweka jela. best prezidaa wa Africa ni Uhuru Muigai
 
Achana na propaganda, kagame kaiweka Rwanda vizuri na ni salama sana, hakuna rushwa, sheria zinafuatwa etc na uchumi unakua vizuri, naona unataka kuwarudisha wauaji wenzako interahamwe
rwanda si salama, watu wanaishi kwa hofu kubwa, hofu ya kuogopa kuuliwa.. ila moyoni wana vidonda vikubwa ambavo havijapona, kama rwanda ni salama embu waitishe uchaguzi huru na wa haki utakaomfanya paka akae pembeni, paka mwenyewe hofu imemjaa ndio mana hataki kuachia kiti wala kukosolewa
 
Kagame anapata sifa nyingi sana hasa kwenye vyombo vya habari vya magharibi lakini ukweli ni kwamba sababu kubwa ya kupendwa ni kwamba yeye pamoja na Museveni ndio walinzi wakuu wa western interests katika great lakes region (hasa Marekani).

Katika historia ya Afrika Mashariki na kati hakuna mtu aliyehusika kuua watu wengi zaidi either directly au indirectly kama Paul Kagame.

Report ya ICTR (International criminal tribunal for Rwanda) ilipata Ushahidi wa kutosha kumshitaki Kagame kwa Genocide kwamba yeye na majeshi yake ndio chanzo kikuu kilichosababisha mauaji ya Kimbari ya mwaka 1994 .

Wamarekani walikataa kufuatilia matokeo ya uchunguzi wa ICTR kwa sababu zao wenyewe. ICTR ilitoa maujumisho yafuatayo kuhusu ni nani aliyetungua ndege iliyomuua Habyarimana.

1) Frank Nziza wa RPA( RPF sasa) ndiye aliyekuwa mkuu wa timu ya RPF iliyotungua ndege. Huyu alikiri kuwa ndiye aliyefyatua mizinga iliyotungua ndege

2) Matayenga Nyakarundi (wa RPF) ndiye aliyempa Frank hayo makombora mawili yaliyosafirishwa kwenda Masaka ( Rwanda, karibu na airport) ambapo yalitumika kutungua ndege.Makombora yalifichwa kwenye shamba la Didier Mazimpaka, karibu na uwanja wa ndege.

3) Kayumba Nyamaswa( sasa yuko South Afrika) alihudhuria mikutano mitatu ndani ya RPF iliyopanga kutungua ndege. Mikutano hiyo ilikuwa ‘chaired’ na Paul Kagame.Kayumba alisha kiri kuwa RPF ilitungua hiyo ndege.

4) Serial numbers za Kombora lililotumika kutungua ndege zilikuwa traced mpaka kwenye maghala ya silaha ya jeshi la Uganda. Makombora ya namna hiyo hayajawahi kutumika katika jeshi la Burundi. Kumbuka RPF ilikuwa sehemu ya jeshi la Uganda( waasi) na walitumia silaha zilizotoka Uganda.

Kuna report ya wafaransa pamoja na nyingine ya serikari ya Spain ambazo zilitoa majumuisho hayohayo kwamba RPF ndio waliotungua ndege ya Habyarimana. Kagame aliua watu wengi sana Rwanda (maelfu kwa maelfy ya wahutu) pamoja na wacongo( kutoka ripoti za mashirika ya haki za kibinadamu) lakini kwa sababu ni mtoto mteule haguswi na mtu yoyote.

Kagame hakupenda mapatano yaliyokuwa yanazumgumzwa Arusha, ambapo walikubaliana kugawana madaraka na Habyarimana .Wakaamua kutungua ndege ili wachukue madaraka peke yao kwa kuwa jeshi lao kwa wakati huo lilikuwa na nguvu kuliko la Burundi.

Ila mwishoni, kama ilivyotokea kwa Mobutu, Wamarekani watamchoka na siku hiyo ikija, hatakuwa na pa kukimbilia, na madhambi aliyoyafanya yatalipizwa kisasi na wanyarwanda na waathirika wengine wengi wa RPF maziwa makuu.

Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
 
Hujui kua watutsi ni hybrid ya wa israel!!
They are gifted.
Eti watusi ni wa Israël nani kakudanganya ivo na hata kama Ni waizraeli Mungu amewaleta hapa duniani kuja kusumbuwa amani ya watu au ipo siku yenu ndo mtajua kweli kama Ninyi ni waisraeli au wayunani na tukifatilia historia za vitabu wa Israeli hawakuwa watu warefu kama Ninyi labda wafilisti
 
Nyakubahwa presida wa republika yu Rwanda #Rwandanziza
IMG_20220502_101629_551.jpg
 
Back
Top Bottom