Patrobas Katambi, Naomba uondoe nia yako ya kugombea ubunge Shinyanga Mjini

popote katambi anafaa hata kama tukikosa ila tutakuwa tumejaribu kwan wengne(wazawa)wana uhakika gan?
 
fuatilia post zangu ndio utanijua. Sipendi ukamanda unafiki.

Hafai kuwa mgombea abaki BAVICHA

Mkuu heading yako iko sawua, tatizo ni hoja ulizozitoa!! Hivi kweli chadema ikimuengua kwa hoja hizo za uzawa, tutakuwa na akili kweli!?
Binafsi naamini kama chadema inataka kulipoteza jimbo hili basi tulogwe tumpitishe Patrobass ama Rachel Mashishanga. Turufu pekee ya chadema ni kamanda KASILI. Naapa lazima aongoze kura za maoni. Sasa kama kamati kuu itafanya yale ya Kalenga, shauri yao.
 
Unajua kuwa Patrobass alianzia elimu yake Hapo shinyanga? Tunazo taarifa kuwa Kuna mtia nia mwenzake ameogopa baada ya kusikia kuwa Patrobass nae ametia tia, kwa hiyo mengi yatasemwa sana lakini patrobass ni mzoefu wa siasa za hapa Tanzania kwa hiyo hana wasiwasi na maneno yenu hayo....

Kuthibisha kuwa kijana hana tatizo...amewahi kuhudhuria msiba wa ndugu yake hyo mtia nia mwenzake hapo Old shinyanga.

Mtia nia....hili neno linazidi kuwa maarufu, linanikera sana.
 
hapa shinyanga panaitaji mtubatakae kubalika pande zote,yaani kwa wazawa na sisi mwenzangu na Mimi wakuja.
chadema Ina support kubwa Sana hapa shy,lakini wakisubutu kumsimamisha MTU lege lege then hili jumbo litarudi ugambani.
 
mtoa hoja usiogope apiti huyo we tia nia tu alafu haya yanaongelewa kwenye vikao sio humu ndugu yangu au umeanza kuwa na tabia ya magamba au act ya zito ambayo iko kwenye mitandao tu.
 
Kwa nini ahamie chama cha wasaliti Tanzania?

Aendelee kupiga kazi BAVICHA
Maneno ya kuzusha yameshazoeleka...Chadema inaongozwa kwa propaganda na uzushi wa kuchafuana wao kwa wao simply ukitofautiana mawazo na baadhi ya viongozi wa chama.Wakati wengine wakijiimarisha, Chadema inameguka kama kuna ndoto ya kuishika hii nchi kwa style hii bado sana.
 
Nyie mruke ruke tu kama maharage ya Mbeya, Mbunge wa Shy mjini ni Rachel Mashishanga mtake msitake!! Patrobas atulie Rachel amalize ingwe yake ndo naye atangaze nia, huku sasa itakuwa kufanyiana fujo ambazo hazina msingi. Rachel mbona alitangaza siku nyingi? Huyu mtoto naye ametoka wapi? Atulie kwanza akifikisha miaka 40 ndo aje atuombe kura tutampa!

Acheni uoga nyie, subirini kura za maoni ndiyo zije kuamua.
 
Nikama nawaona waliopo nyuma ya poqt hii,wakumkataa na kumbali si nyie pekee bali wananchi,so mzizuie dzmokrasia kutamaliki,kuwa kiongozi ndani ya CDM hakukuzuii kugombea nyaaifa za uwakirishi wananchi,jipangeni kwenye kura ya maoni,wewe mbona bado unasoma na umetia nia?
 
Mkuu,

Kati ya watu wachache makamanda huwa nakuheshimu sana.

Soma vizuri uelewe hoja.

Mwaka 2010, kamanda Marehemu Shilembi na sie wana Chadema, tulikuwa tunajinadi kuwa Masele si mzawa wa hata kaja kuufanya ubunge ni kama take away.

Leo tutasemaje kwa Katambi?

Hebu tuache mzaha kwenye mambo serious.

Abaki kuwa ni mwenyekiti BaVicha

You can see it's backfiring now!! Ukishaanza dhambi ya ubaguzi hutasalimika..
 
Wasalam Jamvini,

Kamanda Patrobas Katambi, nakuomba uondoe nia yako ya kugombea ubunge Shinyanga Mjini mara moja.

Kamanda, unafahamu kuwa wewe si mzawa wa hapa Shinyanga Mjini. Na kwamba turufu hii tuliitumia kama CHADEMA dhidi ya Masele na kusababisha ushindi kwetu.

Kamanda, unafahamu huna ndugu wala jamii yako hapa mjini unag'ag'ania. Kamanda Masele /Nkurunziza.

Kamanda, unafahamu jimbo la Kahama walikukatalia live, ambako kuna ndugu zako, umefika wilayani hapa na mbunga wamekukubalia kutia nia.

Kamanda, unafahamu ulivyoanzisha mtandao wa kimakundi CHADEMA wilayani hadi kata.

Kamanda, unafahamu wanashinyanga walivyo na misimamo. Juu ya uzawa wameonewa kwa miaka zaidi ya 10.

Kamanda, unafahamu kwana watia nia zaidi ya 10 wenye sifa ila umekomalia kisa ni kiongozi wa kitaifa utapata tu.

Kamanda, unajua ulikataliwa na walimu siku ya seminar yao. Ukimwakilisha Rechal Mashishanga ulizomewa kwa maneno yako kwao. (Ulimi hauna mfupa)

Kamanda unafahamu. Uongozi makao makuu unakubeba, hata mkutano wa hadhara juzi juzi NKMZ Salum Mwalimu alikubeba na kuwaacha watia nia wengine.

Kamanda ni hivi, kujenga CHADEMA si lazma uwe ni Mbunge, mbona una Cheo kizuri kukitumikia chama, BAVICHA TAIFA.

Jipime! usikibomoe chama kwa tamaa zako Kamanda.

Ukweli MCHUNGU wewe si MZAWA wa hapa.

Am always PERFECT.

Mkuu tunakuomba kwanza ujitambulishe ujulikane wewe ni nani ndani ya siasa za upinzani,baada ya hilo tutakupa ushauri
 
kama ni kweli mimi mwenyewe sikubaliani nae kabisa ifike wakati mtu kama yeye atulie ajenge chama bado kijana sana yasije kutokea ya heche na waitara tarime ...shinyanga ni jimbo ambalo wazawa wametumika sana kujenga chama sasa asitokee mtu mwingine kisa ana cheo akomalie kugombea....kuna makada wa chadema wanakubalika sana hapo shinyanga ....katambi anatakiwa atulie ajenge chama bado kijana sana ....tulilikosa jimbo la tarime kwa matatizo hayo hayo

Mkuu inabidi mjue hao wanao post ni upanse gani?
 
Wewe ni kamanda perfect wa Ugambani.
Chadema wanataratibu zao na hamna huo ujinga wa ukabila na uzawa.

Kumbe tayari umemgundua kuwa ni gamba? Hongera kamanda kwa kuligundua hilo gamba
 
Unajua kuwa Patrobass alianzia elimu yake Hapo shinyanga? Tunazo taarifa kuwa Kuna mtia nia mwenzake ameogopa baada ya kusikia kuwa Patrobass nae ametia tia, kwa hiyo mengi yatasemwa sana lakini patrobass ni mzoefu wa siasa za hapa Tanzania kwa hiyo hana wasiwasi na maneno yenu hayo....

Kuthibisha kuwa kijana hana tatizo...amewahi kuhudhuria msiba wa ndugu yake hyo mtia nia mwenzake hapo Old shinyanga.

Tunashukuru kumpasha huyo gamba mkuu
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom