Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
"Sabodo aliwapa Chadema Tsh. Milioni 150 kuchimba visima nchi nzima, wakazitafuna, Wakapewa magari 120 ya kampeni leo hii Mtu mmoja amejimilikisha Magari yote kuwa ni yake, Walipewa msaada wa pesa za kuanzisha gazeti la Tanzania Daima, leo linamilikiwa na Mtu mmoja. Chadema kumejaa Mafisadi".
Patrobas Katambi (10/02/2018, Tandale).
Mambo haya nilianza kuyazungumza June 2017. Naamini siku moja Watanzania na Wanachadema watajua adui yao Namba moja sio CCM kwasasa bali ni Mbowe na Genge lake.
Wanaotoka kwenye Chama wanampa nafuu. Na yeye anataka watoke wote waje wapya wasiomjua. Mimi niko pamoja na wanaopambana nae ndani ya Chama.
Patrobas Katambi (10/02/2018, Tandale).
Mambo haya nilianza kuyazungumza June 2017. Naamini siku moja Watanzania na Wanachadema watajua adui yao Namba moja sio CCM kwasasa bali ni Mbowe na Genge lake.
Wanaotoka kwenye Chama wanampa nafuu. Na yeye anataka watoke wote waje wapya wasiomjua. Mimi niko pamoja na wanaopambana nae ndani ya Chama.