Believe me Nanga Boy au Patrick ni mtu yuleyule huyo ambaye alianza na Hiace 1 ya Segerea Mnazi Mmoja miaka ya 2004 hakuwa na chochote cha kutisha. Kikubwa ni nidhamu yake ya kazi, ni jamaa fulani hivi Mpemba/Mtu wa Pwani.Ushasema Nanga boy,Nanga ni neno linalotumika zaidi jeshini..kwa sie tuliopitia pitia kozi za kijeshi tunaelewa.
So possibly hizo daladala zilizoandikwa Nanga boy zitakua ni za mtu flani ambae either ni mwanajeshi,police au mwingine yeyote aliyeko kwenye tasnia ya ulinzi na usalama.
Kuna yule Mwinyi Zuberi naye alikua na magari si habaUmenikumbusha miaka ya nyuma ruti ya temeke na mbagala ilitekwa na jamaa alikuwa anajiita "Super Amran" sijui kampuni hii imefia wapi?
Mambo
"Huo mstari wa mwisho umeeleweka"Katawala Ruti ya Segerea Kawe
Ruti za Mawasiliano Kunduchi
Jamaa nasikia ni mkubwa fulani.
Kila mwezi ingizo jipya mjini
Pia inasemekana kuwa huuza hayo magari ila wanao yanunua hawabadili ili wasisumbuliwe
Huyo ndo city boy mwenyewe karud kwa hilo jinaMashaallah nae hamjamzungumzia mbona