Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,872
- 38,495
Me niko positive.Sikweli, jamaa anaamini katika vyano vingi vya pesa kitambo alishwai sema kupata Mtaji endelevu tatizo Banks zinazingua yeye kama mjasiliamari akaona Forex njia sahihi ya kumpa Mtaji endelevu wa muendelezo Biashara zake.
Kwamaana hiyo Forex anafanya kama Hustling ya kumpa mitaji, juzijuzi alipost video YouTube alisema ana account kadhaa moja wapo ni kwaajili ya Investment tu pesa anayotoa anaendelea kuwekeza kwenye Physically Business...Biashara ya kuku anaendelea nayo na hana biashara moja.
Tuwe positive at some point.
Ila nilichokiona jamaa ni kwamba bishara nyingine kaweka kapuni. Ww ndani ya mwezi unaingiza mil karibu 500. Hata kama ni ww utataka stress za nini kwenye biashara nyingine.
Mwezi uliopita nimeona kapiga kama mil 480.
Nilivyosikiliza video yake kwa umakini ndio niligundua hilo. Maana tangu mwanzo nililuwa nashangaa ni kama aliacha kupost biashara zake nyingine na hata alikuwa akipost anapost picha na video za zamani.
Alikuwa busy na TMT karibu miezi 4. Akaja akajifungia ndani miezi 6 anasema. Sasa hizo shughuli nyingine anafanya saa ngapi? Na hata kama anaendelea nazo nafikiri mkazo wake huko haupo kabisa. Kaona kuna chanzo kingine bora cha mapato. Hata kama ungekuwa ni ww.