Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,414
Taarifa tulizopata punde ni kuwa Bwana. Patrick Mfugale aliyekuwa Acting Chief Executive wa TANROADS ameteuliwa kuwa Mkurugenzi mpya wa TANROADS.
Habari zaidi baadae
Habari zaidi baadae
CV yake please.
Naam mkuu,PMfugale amekuwa aki-kaimu hii nafasi kwa muda halafu kwa "standard" za PMagufuli huyu ndiye alikuwa choice yake "by default"!
Huyu anapiga mzigo si sawa na fisadi Mrema (former TANROAD CEO) aliyemchimba mkwara waziri kanyaboya KawambwaNaam mkuu,
Nasikia ni mteule wa Magufuli
Huyu anapiga mzigo si sawa na fisadi Mrema (former TANROAD CEO)aliyemchimba mkwara waziri kanyaboya Kawambwa
mrema amewahi kusema nikishtakiwa kwa ufisadi nitataja vigogo wa CCM wanaochukua hela TANROADS
Ndugu yangu wakti mwingine punda bila kiboko haendiiiiiiiiiiiiii ! anajua kabisa nafasi hiyo atapewa ndugu yake dr. Kawambwa na makapu ya karanga, kwahiyo ili anachopanga kichwani kiende sambamba na mipango ya maendeleo ya nchi nivema pia kuwa mgumu kuwezesha kazi yako iwezekufanikiwa, kwani Kikwete Mungu?ni kitendo cha kushangaza pale magufuli akibishana na rais kuhusu chief mpya wa Tanroads na magufuli ameweka sharti kwa rais kikwete bila ya MFUGALE yeye anajiuzulu kazi
ni kitendo cha kushangaza pale magufuli akibishana na rais kuhusu chief mpya wa Tanroads na magufuli ameweka sharti kwa rais kikwete bila ya MFUGALE yeye anajiuzulu kazi
ni kitendo cha kushangaza pale magufuli akibishana na rais kuhusu chief mpya wa Tanroads na magufuli ameweka sharti kwa rais kikwete bila ya MFUGALE yeye anajiuzulu kazi
Naam mkuu,
Nasikia ni mteule wa Magufuli