goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,852
- 12,981
Alikuwa Ana tamaa mbayaa kwani mnilimuona Apo ubungo wakt wanazindua fly over afya yake CYO kuwa mtumishi wa umma Wala kuonekana puplic alikuwa kachoka mbyaa ndio kwanza magufuli anasema anaomba mungu asife aendele kumtumia kuzanifu madaraja ya nnchi ...ila ukweli baby yule kachoka huku akiongea fatilia you tube alichangia a Sana tarakimu wakt anasoma hotuba fupi na garama zilizotumika ndio nikaingiwa na waswAsi kwa mtendaji huyoKuna wakati nilipomuona akiwa kazini anakagua mabarabara nilimuonea huruma kwa hali yake ya kiafya, nilijiuliza kwanini hapumzishwi au kwanini yeye haombi kupumzika? Maskini! hadi amefia kazini.
Hili ni fundisho pia kwa watumishi wengine wenye umri mkubwa au wana matatizo ya kiafya ni vyema wakaomba kustaafu kwa hiyari ili wapate muda wa kupumzisha miili yao kuliko kuifia kazini.
Kumbukeni kazi na afya, Afya yako/uhai wako ni muhimu sana kuliko kazi, ukifa leo kesho tunateua mwengine anashika nafasi yako.
wazee mnaotaka kuifia kazini pumzikeni, pisheni vijana nao wapige kazi.