mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,038
- 35,910
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021