Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,431
- 3,250
Alikuwa anafundisha Vijana wapya maarifa aliyokuwa nayo.Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu...
Ilikuwa vigumu kuwafundisha akiwa nje ya ofisi ya umma.