Kwahiyo korona huko tz hakuna?Hao wanaojazana kwenye mwendokasi na daladala na pantonj umeona wakifa na Corona?
Hao mnatuhumu kufa kwa Corona ni wazingatia masharti hawapandi na kujazana kwenye daladala wala mwendokasi wana magari yao binafsi na nafasi nzito kwenye jamiini watu wa social diistancing!!!! barakoa kama kawa na unawaji mikono kwao hawajaanza leo!!!
Mbona vifo vingi sio vya wabanana mwendo kasi na daladala na panton?
Hawa mnaosema wanakufa kwa corona sio watu rahisi kuipata sababu wengi si sehemu ya wakaa uswahilini na kwenye mirundikano
Watu wanakufa kwa maradhi yao waliyonayo ena mengine ya aibu ila sasa hivi huwezi sikia mtu kafa kwa ukimwi visingizio vyote vinapelekwa kwenye Corona ili mtu apewe kaheshima asikokuwa nako!!!! ohh kafa kwa Corona kumbe ukimwi!!!
Tuwe wakweli Corona ingekuwepo mitaani kungekuwa vilio kila kona watu wanabanana kwenye mwendokasi,daladala,panton masokoni nk