Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,656
- 7,266
Basi wazungu wasipo kuja huko arusha na kilimanjaro si mtakufa kwa njaa ndo mjue hamna umuhimu wowote zaidi ya utalii tu.Kumbuka kuwa Corona 2020/2021 ilijeruhi sana sana utalii na hivyo kuathiri sana pia uchumi wa mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara