Amenzi Buzinza
Member
- May 3, 2016
- 20
- 7
Aina ya ufugaji wa inchi kavu kwa namna moja au nyingine hautofautiani sana, tofauti ni jinsi ya kupata vifaranga vya Kambale
Habarini...nina samaki wakubwa waku fugwa washafikia mda wa kuuzwa wana mwaka na kitu.Wapo wengi na natafuta soko la kuwatoa wote...
Yapo mabwawa mawili makubwa yote ya kuvunwa.Ambae ana jua ama clue anicheki kwa message.Asanteni
Upo mkoa gani?
Mkuu mimi Sina Ushabiki nachoweza sema kile nachokifahamu. Watu wanachukulia kama kwamba ni Ubishani wa ligi fulani no. Tunaweza kuendelea kwa vitu fact na sio kupoteza watu Maboya.Ni ule upumbavu wa kuamini kila kitu kinachosemwa ukitoa wanavosema watanzania.
samaki gani brooDar es salaam..
Satosamaki gani broo
Naomba nifahamishe ulipo hapa Arusha nijekutembelea hilo bwawa namba zangu ni 0784887159.Uchimbaji wa bwana unategemea na ukubwa wa bwawa,ukitaka kazi na bwawa likae vizuri inakuhitaji uwe na excavators ila pia wapo watu wanachimba ila wanachukua mda mrefu sana. Kwa mfano nimechimba na excavator size ya 43mx15m kwa shilling 700,000 arusha.
Kama Mimba ya Binadamu...
Idea Zingine unaweza kugeuka Masikini kwa muda mfupi.... Gharama zote hizo siku unavuta unaishia kulipa madeni... Deal kama hizi uwe na kipato kingine cha kuendesha Maisha
Kama Mimba ya Binadamu...
Idea Zingine unaweza kugeuka Masikini kwa muda mfupi.... Gharama zote hizo siku unavuta unaishia kulipa madeni... Deal kama hizi uwe na kipato kingine cha kuendesha Maisha
Biashara Pasua hiyo... na unatakiwa uwe na mtaji mkubwa sana ili kuwa millionea au sio kwa kutafuta pesa ya kula tuMwazoni unapo weka vifaranga aina ya sato ndo utatakiwa usubiri mpaka miezi minane (8) ndo uvune samaki lakini baada ya hapo utakuwa unavuna kila baada ya miezi mitatu mitatu
Eicher Bus gani 40 Mil.? Tatizo lako maneno ya Vijiweni mengi unasikilizaMkuu Million 40 Bora nikanunue Eicher Bus nikusanye laki mbili kila siku... kwa Mwaka Mmoja sikosi m100