dudupori
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 1,793
- 1,903
Mkuu heshima kwako, naomba unijuze naweza changanya kambale na perege na kuwafuga pamoja?Unataka kujaribu au kufanya mkuu?
Mkuu heshima kwako, naomba unijuze naweza changanya kambale na perege na kuwafuga pamoja?Unataka kujaribu au kufanya mkuu?
Fuga tu mkuu bata hawezi kula samaki. Samaki ni wajanja mno. Kuna mdau aliniambia bata wanasaidia kucontrol vyuraHivi inawezekana kufuga samaki pia ukafuga bata ktk bwawa moja?
na kama inawezekana je bata hawatakula samaki?
Habari wadau je zile nylon za kufugia samaki kuna aliyewahi zitumia, kuna changamoto zozote ukilinganisha na kuchimba na kujengea. Nilitaka kuanza ufugaji mdogo kwa kutumia liner badala ya kujengea. Ushauri please
asante sana miaka 2 ni tosha kwa kuanzia project ikikua nitatumia hizo za balton. Kkoo nilikuta 12x4m ni 150,000 nitajitaidi kuleta feedback nikifanikiwaKwanza kwa wadau wote wa huu uzi waliotamani field tour wanisamehe kwa sasa nimekwama kidogo ,nimekutana na changamoto ya upatikanaji wa maji na ardhi inanyonya maji sana.
Tumetumia pesa nyingi sana(karibia 30m)so far na bado project iko utotoni kabisa.Na mara ya kwanza i never thought this project was huge(mabwawa 6 ya square meter 400 kila moja).
So im looking for partners now wa kusonga nao mbele zaidi sababu hapo nahitaji either liner au kujengea kwa cement which are both equally expensive.Na pia kuchimba maji(sio changamoto sana)
Lakini unaweza kutumia nylon za kawaida(Sisi wa Itabagumba Sengerema tunaita kavelo)ila uwe makini na zile pindo inapopita uzi na overlap za hizo nylon zisipitishe maji na zinakaa for at least 2 years, wakati zile zenyewe special zinakaa kama miaka 10 hivi ila zina bei balaa,Balton Tanzania wanazo.
Kwanza kwa wadau wote wa huu uzi waliotamani field tour wanisamehe kwa sasa nimekwama kidogo ,nimekutana na changamoto ya upatikanaji wa maji na ardhi inanyonya maji sana.
Tumetumia pesa nyingi sana(karibia 30m)so far na bado project iko utotoni kabisa.Na mara ya kwanza i never thought this project was huge(mabwawa 6 ya square meter 400 kila moja).
So im looking for partners now wa kusonga nao mbele zaidi sababu hapo nahitaji either liner au kujengea kwa cement which are both equally expensive.Na pia kuchimba maji(sio changamoto sana)
Lakini unaweza kutumia nylon za kawaida(Sisi wa Itabagumba Sengerema tunaita kavelo)ila uwe makini na zile pindo inapopita uzi na overlap za hizo nylon zisipitishe maji na zinakaa for at least 2 years, wakati zile zenyewe special zinakaa kama miaka 10 hivi ila zina bei balaa,Balton Tanzania wanazo.
Aisee ARUSHA maeneo gani nije kujifunza kwasababu na mimi nahitaji sana hiyo biashara.Mimi nipo Moshi.Uchimbaji wa bwana unategemea na ukubwa wa bwawa,ukitaka kazi na bwawa likae vizuri inakuhitaji uwe na excavators ila pia wapo watu wanachimba ila wanachukua mda mrefu sana. Kwa mfano nimechimba na excavator size ya 43mx15m kwa shilling 700,000 arusha.
Mwenye utalaamu wa ufugaji wa Samaki anifahamishe.. Ni zao nalolifikilia sana kulianza muda si mrefu.
Mkuu hawa wana uzito gani na mmewafuga kwa muda gani??Samaki tunafuga kwenye mabwawa yetu