Ukiona kwa siku mbili ushauri wa Dr Lizzy haujakufaa uende hospital mapema ukachukue antibiotic. Mafindofindo ni ugonjwa hatari sana, usiuchukulie kiwepesi hasa kama yanakupata mara kwa mara.
Dhana hii ya vitu baridi imeenea sana, hakuna mahali kwenye medical iterature imeelezwa. Haina ukweli.Asante mkuu! kwahiyo inamaana hayasababishwi na kunya au kula viu vya baridi!
Asante lizzy,!Antibiotics might help. . .
Ni vizuri akaonana na daktari.
Alafu inashauriwa kunywa vitu vya baridi sana (tofauti na tulivyokua tunaambiwa zamani) au vya moto sana.
Uje na feedback mkuu! Tutashukuru sana...nawashukuru sana wachangiaji hapo juu
ukienda kwenye hospital zetu unagombezwa kwa nguvu
zote kwa nini unatumia vitu vya baridi tena unaambiwa uache kabisa
mie huwa vitu vya baridi situmi kabisa lakini ndio kila
mara sindano na antibiotics
kama hii mada ilikuwa inanihusu vile
leo ndio ninaonana na Dr wa ENT niweze pata ufafanuzi na tiba halisi
wakuu huu ugonjwa wa TONSES unasababishwa na nini? Na nini tiba yake,kuna dada yangu anaumwa sana hii kitu akitumia dawa inaisha but ndani ya kama wiki tatu hivi inarudi tena! Msaada please!!!!
Uje na feedback mkuu! Tutashukuru sana...
Pole emecka kwa kuchelewa kuja hapa...unajua tena internet mpaka ofisini! Madaktari 'choka-mbaya'!
Tonsils zinapotolewa kwa upasuaji (Tonsilectomy) zinapaswa kutoka/kung'olewa zote pande zote mbili....huwa haibaki hata moja. Na kwa sababu ziko kwenye kama kifuko hivi (sac) ni rahisi basi kuzichomoa nzima nzima isibaki hata kidogo. Na zinapotolewa, basi huwezi tena pata ugonjwa wa kuvimba na kuuma Tonsils yaani 'Tonsilitis'.
Kwa kweli sijui ilitokeaje kwa rafiki yako akaugua tena na kulazimika kufanya operation kwa mara ya pili (sijawahi kuona hilo katika uDaktari wangu). Labda hiyo operation ya kwanza haikuwa Tonsilectomy...sijui...check uwe na uhakika. Na kama ilikuwa tonsilectomy, ina maana Daktari alitoa tonsil moja akaacha nyingine? au alitoa zote but not completely?...Highly unlikely!