From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,797
Habari zenu ndugu zangu...samahani naomba msaada kwa yeyote mwenye kujua dawa ya koo maana leo siku ya tatu mate nameza kwa shida...linakerekata balaa nameza Pen V ndo ata dalili
Kiongozi, nenda hospitali. Jamvini watu huja kuomba msaada baada ya hospitali kufeli.