Pata ufahamu na elimu dhidi ya ugonjwa wa Mafindofindo (Tonsils)

Kiongozi,hospitali nilienda toka juzi maana ziliniletea homa kali sana ikabd Dr. alimpumzishe Wardn...nkachomwa sindano na drip juu baada ya hapo nkaambiwa ninunue hizo Pen V lkn naona hali bado japp joto limepungua
Jaribu ciprofloxacine (cipro) n nzuri
 
pole, naweza sema nilimtesa mwanangu na huo ugonjwa kwa miaka miwili, nilikua nikimpa dawa za antibiotic kila baada ya wiki 2 kwakuogopa kumpeleka hospital kufanyiwa operation...
Mkuu ulienda hospital gani kwani mwenyewe zinanitesa nimetumia dozi yaan hii ni ya tatu mfululizo lakn hali bado mbaya hata kula siwezi mkuu sijajua ni wapi hiyo huduma ya surgery naweza kui access niko dsm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ugonjwa source yake naona haijapatikana vizuri, mimi nimesoma kipindi hicho hakuna umeme huko lakini kila mwaka hasa ikifika mwez wa saba lazima niumwe. Kwa hiyo mtu akisema vitu vya baridi ndio sababu mimi namkatalia kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada jamani mtoto wangu anasumbuliwa na mafindofindo (tonsils). Joto limepanda sana. Please mwenye kujua dawa yake anisaidie tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Pole kwa kuuguliwa,
Dawa hutolewa kwa kulingana na uzito na umri wa mtoto.

Pia ni vizuri kujua kama ana mzio/allergy na dawa yoyote inayofahamika kwako.

Pia ni vyema kumfikishs mtoto kituo cha afya ili kujua kama kuna tatizo zaidi ya hizo tonsils.

Huduma ya kwanza ni dawa ya kushusha homa kama uzito unajulikana/tunaweza kuupata?
 
X -pen 1MU atachoma sindano moja kila baada ya masaa 6 ndani ya saa 24(kwahiyo sindano nne) akimaliza atatumia syrup amoxicillin 5mls mara 3 kwa siku kwa muda wa siku 5.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ya haraka achome sindano.

X-pen 1MU 6hly in 24 hrs kisha akimaliza atatumia Syrup Amoxicillin 5mls tds kwa siku 5.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi sio mtaalamu wa afya lkn kwa uelewa wangu mdogo ethics za tiba hazipo hivyo!!! Huwezi kutoa tiba huku haujamwona mgonjwa!! Una uhakika gani ni ugonjwa ulioelezwa au ni magonjwa yaliyofanana dalili!!! Utaua watu wewe maana utatibu ugonjwa asiokuwa nao mteja!!

Mtoa mada nenda hospital utapata ufumbuzi
 
Back
Top Bottom