Pata Sheria mbalimbali za Tanzania bure hapa!

Kidude cha thanks tunaweza kukubonyezea, lakini, tupe na za kiswahili, hii lugha iliyoko humu si wote wenye uwezo nayo., si unajua wengi wetu tumepita kwa asante Kanumba schools!!!!!
 
safi mkuu natafuta za matraffic pia;
 

Attachments

  • Tanzania Labour Act 2004[1].txt
    137.6 KB · Views: 179
mkuu akuna sheria ninayoweza kumfunga kikwete kwa kulinda mafisadi
kwa hili uwekwe pema duniani
 
Jambo hili ndio linatakiwa lakini tatizo ni timeliness - mfano kwa sasa katiba ni toleo la 20 Juni 2005 na iliyopo hapo ni outdated.
 
jamani nahitaji kujua ikiwa leseni yangu ya udereva imekwisha muda wake... je kuna grace period inayotolewa ili niweze kuitumia wakati mchakato wa kurenew unafanyika kabla ya kuwa 100% obsolete
 
Asante sana mkuu, Je, ipo iliyoandikwa kwa kitanzania? (kiswahili)
 
I do appreciate for ur contribution to this industry for the provision of usefull website where can acess all law(s). Keep it up.
 
Back
Top Bottom