mbona simple sana hiyo,kuna watu wanadaiwa had anasahau kuwa sehem flan alishakopa,anarud na Maelezo yaleyale bila kujijua kuwa alishayakopea awali,nilimwangalia tu na sikumuumbua,nlimwambia hii chukua tu wala usrudisheunadaiwa kodi ya nyumba,
Unadaiwa tala
Unadaiwa brunch
Unadaiwa tigopesa
mbona simple sana hiyo,kuna watu wanadaiwa had anasahau kuwa sehem flan alishakopa,anarud na Maelezo yaleyale bila kujijua kuwa alishayakopea awali,nilimwangalia tu na sikumuumbua,nlimwambia hii chukua tu wala usrudishe
Usiombe uwe unadaiwa mahari mzee...Daiwa vyote lkn si kodi ya nyumba. Inaumiza sana kichwa.
Sasa ntafanyaje hapo ni kuachia tu ushuzi ule wa kimyakimya(yusuphuuu)unadaiwa kodi ya nyumba,
Unadaiwa tala
Unadaiwa brunch
Unadaiwa tigopesa