Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,462
- 154,333
Ukipigwa ban unaenda jela, mod ni hakimu halafu ni askari magereza.
Bujibuji ni jike, limeolewa na lina watoto tisa, kila mtoto na baba yake, ndugu kibao kutoka kila kona wanakuja kumsabahi, watoto wako confused, wakiona mwanamke yeyote wengine wanamwita anti, wengine mamdogo, mara wanaanza kubishana wao kwa wao. Ugomvi wa watoto unatokea, huyo aliyeitwa mamdogo/ shangazi akijaribu kuwaamua, wanaji mobilize na kumshambulia vikali.
JF bwana....... Much respect
Bujibuji ni jike, limeolewa na lina watoto tisa, kila mtoto na baba yake, ndugu kibao kutoka kila kona wanakuja kumsabahi, watoto wako confused, wakiona mwanamke yeyote wengine wanamwita anti, wengine mamdogo, mara wanaanza kubishana wao kwa wao. Ugomvi wa watoto unatokea, huyo aliyeitwa mamdogo/ shangazi akijaribu kuwaamua, wanaji mobilize na kumshambulia vikali.
JF bwana....... Much respect