Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
watu wameitazama kwa Dark side hii issue kwa kukomalia ulimbukeni tu lakini hii imenifundisha kitu maana hii inaongeza Privacy unaweza kushare contacts zako kokote Online bila wasi wasi na unaiweka kama kwa ajili ya whatsapp only ambaye hana whatsapp atakutafuta kwa email ila haya mambo ya ku-expose namba yako e.g 0753932251 hapa JF mtu anakucheki Mpesa kama haujasajili line kwa jina la WiFe au Ndugu yako ndo mtu anakujua mpaka ndani....
Na ndo maana JF hatutumii majina yetu halisi au hata kwenye Online platforms au social media nyingine
Na ndo maana JF hatutumii majina yetu halisi au hata kwenye Online platforms au social media nyingine