Pata magari kwa bei poa!

nyaggad

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
1,160
692
9618bb6b859a320bc8de74f6f815ca60.jpg

Toyota Ist.
Habari jipatie magari mazuri kutoka Japan na ndani ya nchi,Kama hilo hapo juu lipo Japan gharama ya jumla ya kununua na kulisafirisha mpaka hapa nchini ni 5.5mil,utalipia mwenyewe kodi likifika hapa nchini!,kwa Maelekezo zaidi kwa walio serious ni pm!
 
Fafanua ulipaji wake wa kodi likifika hapa
Likifika hapa linaweza likakugharimu 8mil malipo ya kodi na vitu vingine,ina maana unahitaji jumla kama 13.5mil,ili uweze kulimiliki mkononi!,ulipaji wa kodi hutegemea hiyo gari ni ya aina gani?,imetengenezwa lini?na ina thamani gani kwa hiyo hubadilika kutegemeana na gari!
 
Kwa mtindo huo kodi itatushinda,kumbe magari ni bei rahisi ivyo,
 
9618bb6b859a320bc8de74f6f815ca60.jpg

Toyota Ist.
Habari jipatie magari mazuri kutoka Japan na ndani ya nchi,Kama hilo hapo juu lipo Japan gharama ya jumla ya kununua na kulisafirisha mpaka hapa nchini ni 5.5mil,utalipia mwenyewe kodi likifika hapa nchini!,kwa Maelekezo zaidi kwa walio serious ni pm!
Kuna gari nissan march inauzwa dola kumi na tisa (us$19) ipo kobe japan
Mpaka naichukua nitakuwa nimelipa sh ngapi?
Ni ya 2002 cc 1240
 
Back
Top Bottom