mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
daah nimecheka sanaKila nikiwa na pesa mara nyingi natongozwa na mademu tena warefu wa kimo changu hii sijui ikoje nachukia sana na ndio mademu ninaowapenda.
Hapa meseji mbili zimeingia mbona umenisusa?!sijui pepo?