Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Unajua, unaweka kwenda kibanda cha M-Pesa ukamuambia yule msimamizi akutumie hela kwenye number hiyo, Ukampa 1,000 kama gharama yake akakutumia, ukanipa receipt number nikakuwekea premium member na wala nisijue wewe ni mtu gani.
Mkuu,
Unaweza kwenda CRDB ukadiposit pesa kwenye hiyo account, jina la anaye deposit ukaweka jina lako la hapa mimi ukaniambia umeweka hiyo amount, nikacheki online nikakuwekea hiyo premium member na wala nisijue jina lako. Alafu kuhusu kupokea SMS hapo nashindwa kujua link ya wao kukujua wewe ipo wapi wakati sisi tunatumia service providers wa nje kwaajili ya hii huduma ya kutuma sms. Lakini pia unaweza ukakataa tusiwe tunakutumia ujumbe.
Mkuu Mike Mckee,
Nakushukuru sana kwa ufafanuzi wako. Hapo kwenye RED ndio nilikuwa sijaelewa. Nilidhani mtakuwa mnatumia hawa wenzetu service providers wa ndani kina Vodacom, TIGO, Airtel n.k. Mbona tungefuatiliwa kwa urahisi, wengine bado tunazipenda kucha zetu ati!!!!!!!
Tiba