na wale tuliyopo unyamwezi tunalipaje?
Mkuu Mike McKee,
Hili JF isonge mbele kuna umuhimu hawa Verified user na wale wote wanaoweka picha zao kuchangia JF.
Wengi wao wapo humu kujitangaza kisiasa na kikazi.
Cc.. chama,
ha haaa, kwani mtani hukuona nimekuwa mtanzanite zamani sana?Wakunyumba bana. Hapo mpaka Peramiho watajua umekuwa Mtanzanite!! Basi nimemaliza :tape: :tape: shkamoo
kabadilisha, si umemwona?Shem wako kaona tunapendeza na rangi yetu kaitamania ....anataka tuwe sare sare maua lol!!
ha haaa, kwani mtani hukuona nimekuwa mtanzanite zamani sana?
hebu do ze nidiful pliisssiiii
Safi sana ,utaratibu huu ni mzuri sana .
Nami nitaanza lipia mafungu yangu . Inabidi niingie kwenye rangi ya kijani
Mkuu asante kwa idea nzuri, nadhani ungeweks na payment by credit card pia ingesaidia maana hizo tgo pesa crdb & eartell ni kinyumbani zaidi.
Credit card itajumuisha na sisi wabeba mabox
na wale tuliyopo unyamwezi tunalipaje?
Mkuu Sory, nikitumia Sim Banking ya CRDB kutuma Pesa vip inawezekana au?
Tunafanyia kazi hii.Mkuu Mike, vipi malipo kupitia paypal?
mkuu nauliza inawezekana kuanza na gold halafu baada ya muda nikamalizia hiyo 70,000 na kuwa tanzanite?
Sawa mkuu, ila je ukilipia kidogo kidogo kwa mfano kila mwez 2500 ili kuwapa nafasi pia wale wasioweza kilipa 30000 kwa mara moja?
ok.... i guess, it is a right for me to jump in.......:tea:
I'll drop you a mail mikee:A S check_03:.:A S check_03:
Mkuu RitzMkuu Mike McKee,
Hili JF isonge mbele kuna umuhimu hawa Verified user na wale wote wanaoweka picha zao kuchangia JF.
Wengi wao wapo humu kujitangaza kisiasa na kikazi.
Cc.. chama,