wanatamani
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 415
- 144
HAbari ya nyinyi wana jamvini, wengi tumekuwa tunatamani kupata access ya Wireless intenet , But kikwazo ni key za kuweza kuingia ili tupate access ya internet, mdogo wenu nimezama machimbo yote kwa muda nimebahatika kuja na solution ya hilo. Unatakiwa uwe na software mbili 1.Wireless Net view 2.Mac2wepkey Hatua, Switch on wireless yako kwenye laptop yako fungua wireless net view, kama upo eneo ambalo wifi ipo covered utaona orodha ya wireless hata amabzo ulikuwa hauzioni kabla ya kuwa na wireless net view. Utaona connection ambazo zipo secured na ambazo hazipo secured. Kitendo cha kuona tu connection ambayo haipo secured, pia pembeni kulia kwenye start bar utaiona right click then connect. na kwa wifi ambazo zinaomba key. usiogope unachotakiwa kufanya chagua connection ambayo signal zake zipo juu, alafu utacopy mac address yake , "hii inaonekaana kwa kutumia hiyo wireless net view i copy, hapo utafungua mac2wepkey na kupaste hiyo mac address then click go button inaku generate key za connection uliyochagua. Pata raha kama hauto elewa naomba uni call 0712504567 email wanatamani@gmail.com for attachment of this software