Mtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!wakuu nauza godoro 4*6 used,feni na gas complete kama zinavoonekana kwa picha...
godoro bei 55 elfu tu
gas 55 elfu tu
feni 35 elfu tu...
napatikana savei mlman cty
Karibuni pm
Kweli kabsa mkuuPunguza bei mkuu, kwa bei hizo huwezi uza!
punguza ukali wa maneno mkuuMtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!
Mkuu mtungi wa mihani na gesi na ile burner na grill ya kubandikia sufuria mpya ni bei gani?hawezi kuuza elfu 55 afu ukajaze gesi elfu 20 ni ulaghai!awauzie watu ambao wamekuja jana kutoka dodoma,singida,mwanza,chato,tabora yaani kanda hizo za huko mpaka kahama!punguza ukali wa maneno mkuu
MhhhhMtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!
Umetumia lugha kali sana mkuuMtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!
Samahani mkuu kama nimekukwaza ila sipendagi kutafuna maneno!Umetumia lugha kali sana mkuu
Mtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!