Pata godoro,feni gas bei chee

Shekuna

JF-Expert Member
May 5, 2014
688
549
9a97372e5d7fc6baa4f2b4622340168c.jpg
f01140dfae6a98f1e239132a71d79e98.jpg
2c959d029f08e83c27de74208e7c3bac.jpg
bc008614537d6ae41461e9df71b9dd6e.jpg
wakuu nauza godoro 4*6 used,feni na gas complete kama zinavoonekana kwa picha...
godoro bei 55 elfu tu
gas 55 elfu tu
feni 35 elfu tu...
napatikana savei mlman cty
Karibuni pm
 
9a97372e5d7fc6baa4f2b4622340168c.jpg
f01140dfae6a98f1e239132a71d79e98.jpg
2c959d029f08e83c27de74208e7c3bac.jpg
bc008614537d6ae41461e9df71b9dd6e.jpg
wakuu nauza godoro 4*6 used,feni na gas complete kama zinavoonekana kwa picha...
godoro bei 55 elfu tu
gas 55 elfu tu
feni 35 elfu tu...
napatikana savei mlman cty
Karibuni pm
Mtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!
 
Mtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!
punguza ukali wa maneno mkuu
 
punguza ukali wa maneno mkuu
Mkuu mtungi wa mihani na gesi na ile burner na grill ya kubandikia sufuria mpya ni bei gani?hawezi kuuza elfu 55 afu ukajaze gesi elfu 20 ni ulaghai!awauzie watu ambao wamekuja jana kutoka dodoma,singida,mwanza,chato,tabora yaani kanda hizo za huko mpaka kahama!
 
Mtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!
Mhhhh
 
Mtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!


Ha ha ha ha a a
Nimecheka mpaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom