Pata faida 30,000 kwa siku kwa mtaji usiozidi laki 1

Ni wazo zuri mkuu lakini, katika utekelezaji biashara ni ngumu sana tena ngumu kwelikweli mkuu, kuna mambo mengi sana yanatokea hapo katikati yanaweza kufanya biashara ikafa mfano hata wewe nikuulize unaweza nunua maandazi ya kutembeza kwa mtu ambaye haumjui?

Jibu ni hapana na wengi sikuhizi wanauzia maandazi nje ya nyumba zao mtaani wanakaanga kabisa yanakuwa yamoto je yakutembeza siku nzima yatanunulika?
 
Ni wazo zuri mkuu lakini, katika utekelezaji biashara ni ngumu sana tena ngumu kwelikweli mkuu, kuna mambo mengi sana yanatokea hapo katikati yanaweza kufanya biashara ikafa mfano hata wewe nikuulize unaweza nunua maandazi ya kutembeza kwa mtu ambaye haumjui?

Jibu ni hapana na wengi sikuhizi wanauzia maandazi nje ya nyumba zao mtaani wanakaanga kabisa yanakuwa yamoto je yakutembeza siku nzima yatanunulika?
Kwana maandazi yanakuwa yamepoa.
Raha ya maandazi ununue ya moto moto yametoka jikoni.

Halafu hakuna biashara ngumu kama ya production.
Ninafanya biashara hiyo aiseee ni stress mno.
Leo una mipesa hata faida ya 70,000 unalaza.
Kesho hata mauzo ya 20,000 hakuna.
Hapo nimeongelea faida na mauzo kumbuka.

Ni stress sana.
 
Jomba raha ya vitu kama hivi aandike anayefanya.
Huwezi kunikuta mimi ambaye ninaproduce bidhaa fulani nakuandikia mahesabu kama hayo.

Embu niambie hapo siku ya mvua kali hao vijana kumi watatembezaje maandazi? Hiyo faida ya 30,000 kwa siku bado utaendelea kuipata?
 
Hizi hazina tofauti na story za Namaingo yani ni biashara zenye kuleta utajiri kwenye makaratasi
 
Kwana maandazi yanakuwa yamepoa.
Raha ya maandazi ununue ya moto moto yametoka dukani.

Halafu hakuna biashara ngumu kama ya production.
Ninafanya biashara hiyo aiseee ni stress mno.
Leo una mipesa hata faida ya 70,000 unalaza.
Kesho hata mauzo ya 20,000 hakuna.
Hapo nimeongelea faida na mauzo kumbuka.

Ni stress sana.
Hii biashar ya production ngumu sana mimi na jamaa yangu tulianza production ya peanut tunapack pia na production ya liquid chocolate mfano wa nuteller, ila changamoto tulizokutana nazo ilinibidi niwaze upya. Hapa niko hatua za mwisho nihamie kwenye sembe walau nina uzoefu na huko maana naweza changanyikiwa bure
 
Mmenifanya niyakumbuke maandazi ya nazi na hiliki kwa chai ya tangawizi,

Daaah!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hii biashar ya production ngumu sana mimi na jamaa yangu tulianza production ya peanut tunapack pia na production ya liquid chocolate mfano wa nuteller, ila changamoto tulizokutana nazo ilinibidi niwaze upya. Hapa niko hatua za mwisho nihamie kwenye sembe walau nina uzoefu na huko maana naweza changanyikiwa bure
Acha kabisa.
Mimi hadi mda huu kichwa kinanipasuka.
 
Biashara ya kutembeza maandazi. Kilo 1 ya maandazi unapata faida 2000 yanatoka maandazi 40 unauza sh 100 kila andazi. Tafuta vijana 10 kila kijana mpe maandazi 120 yaani kilo 3.

Hapo akiuza yote itapatikana faida ya 6000 utampa 3000 na 3000 yako. Imagine una vijana 10 tayari una 30000 kwa siku unampita hata aliyeajiriwa ofisini na 300k zao kwa mwezi 1

Akili kichwani mwako kama utataka wazo lengine usijali kuja PM
Brother unamiliki vitegauchumi gani hapa mjini?
maana kwa hesabu zako lazima uwe milionea
 
Ongezea na vijana wengine wa5 wapige mzigo wa alkasusu, wawe in parallel na wale wamandazi..afu uje unishukuru badae..
 
Ni Business Model nzuri...

Changamoto kubwa hapo ni kujenga timu nzuri ya hao vijana...

Vijana wengi wakileo wako short sighted, they don't care about the future(bigger picture)..

Unakuta mtu anatimka na TZS. 50,000 kwamba kapiga na wakati angetulia angetengeneza pesa ndefu kiasi cha kutoka kimaisha kabisa...

So kama Mtendaji Mkuu, unawajibu wa kuwabebesha maono uliyonayo na kuwaaminisha ni kwa jinsi gani watanufaika zaidi na si vinginevyo.

Au uwe vizuri kwenye engo ya kudhibiti endapo utapata vijana wasioleweka..
 
Back
Top Bottom