Habari wana forum !
Je ungependa kutengeneza website ya familia,biashara,charity au organization yako kwa bei poa-(tshs150000-upward ?)
wasiliana na sisi kwa maswali.Maswali yatajibiwa haraka.
Asante
i thought you said free? give me a break, no wonder wabongo hatufanikiwi hata kwenye biashara au profession kwa sababu ya mambo kama haya. hapo ushaweka credibility yako in questions, so can you tell me why i should trust you? acheni kona kona nyingi bwana...
:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:Wewe inawezekana ukawa tapeli mkubwa.KWANZA umeanza kwa kutudanganya,unapoongea na watu wazima kuwa makini sana.Kajipange upya
Yes you are.:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
Am I dreaming?
You probably are...:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
Am I dreaming?
Yes you are.
Have i made myself resourceful to you? (usinipige ban bana)
You probably are...