Pastor Shepherd Bushiri, wife arrested for 'fraud & money laundering'

Utapeli ni ile hali ya mtu kutumia maneno laini na matamu na kujifanya kutaka kumsaidia huyo mtu ilihali Yule anaejifanya kutaka kumsaidia moyoni mwake anakuwa na Mawazo yenye hila kama vile kutaka kumwibia mtu!
Utapeli ni ulaghai!
Tofauti ya tapeli na jambazi ni kuwa Tapeli anatumia maneno matamu na laiini kumwibia mtu wakati jambazi anatumia nguvu kumwibia mtu!
Lakini wote ni wazi tu!
Lengo Lao ni moja!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninabishana au naelewesha?? Kwanza sema interest zako ni nini?? Wewe ni mkristo? Unaijua sawa imani yako au umeshikishwa tu wala hujui hata ulicho amini??
Kama wewe ni mkristo, Unaamini neno la Mungu?? Nataka unipe mifano ya kibiblia sio mifano ya bibi. Naomba nirudie tena hapa wazi wazi.
Mimi si mfuasi wa Bushiri wala sio shabiki wake ila nakuusia; Mwache atumie mali yake kama apendavyo. Ingelikuwa ni rahisi kuingia na kufanikiwa ka yeye, nadhani usingeliyanene uliyo nena. Kwetu wanasema; Mbichi hizo sizitaki, kumbe moyo unauma kwa kutamani
wewe mkristo? km y7esu angekuwa anawahimiza wafuasi wake wamtolee Mungu then hizo mali angekuwa anazfnta za kwake angekuwa tajiri kiasi gan? hawa wachungaji wa leo wanaojilimbikizia mali kutoka kwa waumini wao wanafuata mfano wa yesu yupi maana yesu hakuwa hvyo, ni nabii gani ambaye aliwahi kutajirika na kwa kukusanya mali za wafuasi wake? ww unasema tumtolee mungu bt mwsho wa siku ww ndio unakua bilionea je unaweza kueleza ni kivp waliotoa walimtolea mungu km si uongo, ona sasa anakamatwa kufny fraud
 

Sasa ndugu yangu nikuulize hivi:
Kwani wewe unaelewaje kuhusu neno “ Tapeli”?
Labda tuanzie hapo!
Fahamu kuwa tapeli hanyang’anyi kwa mabavu kama jambazi la hasha!
Tapeli ni mtu anaekuja kwa mtu kwa kutumia lugha laiiini na tamu kwa kutumia maneno mazuri yenye kuonesha nia njema ya kutaka kumsaidia mtu, lakini moyoni mwake au nyuma yake kunakuwa na hila
Tapeli kwa maneno mengine ni “Laghai”

Waafrica wengi ni maskini wa kutupa !
Kwa nini Pastor atumie sadaka kwenye mambo ya anasa kama hayo ya kununua ndege na Magari ya thamani kubwa?
Ilihali waumini wake wamefulia?

Waumini wamechoka kuliko maelezo !




Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unamhukumu kwa sababu yeye ni mwafrika au?? Umeshawahi kumsikia Prophet Lukaku?? Unajua ukwasi alionao?? Somo lako ati kwa nini atumie mali zake anunulie magari na madege sidhani ka unamfanyia mema. Kwa nini umwambie alichokipata asikitumie atakavyo??
Sijawahi kuzipata hizo hela lakini, siku Mungu atanifungulia mlango nadhani utanichukia. Nasema, unamhukumu kwa sababu sio wewe umeshika hicho kijiko cha dhahabu. We ungetisha
 
wewe mkristo? km y7esu angekuwa anawahimiza wafuasi wake wamtolee Mungu then hizo mali angekuwa anazfnta za kwake angekuwa tajiri kiasi gan? hawa wachungaji wa leo wanaojilimbikizia mali kutoka kwa waumini wao wanafuata mfano wa yesu yupi maana yesu hakuwa hvyo, ni nabii gani ambaye aliwahi kutajirika na kwa kukusanya mali za wafuasi wake? ww unasema tumtolee mungu bt mwsho wa siku ww ndio unakua bilionea je unaweza kueleza ni kivp waliotoa walimtolea mungu km si uongo, ona sasa anakamatwa kufny fraud
Sina moyo wa kubishana ila ungetaka kuelewa ungeelewa. Yesu hakuhitaji mali kwani zilikuwa ni zake. Tena alijua zilipo. Unakumbuka alipoulizwa kodi alimtuma wapi Petro kuichukua hiyo kodi??
Nasema hivi;
Yule ni mtumishi wa Mungu wake. Mwambieni tajiri wake yaani aliye muajiri amshughulikie.
 
Mi mwenyew nilipelekwa hapo,niliyoyashuhudia daah,..pastor wao ambae ndo kama muwakilish wa huyo bushir dar,yaan ni msela flan,akawa anapiga stor zake za kufanya biashara ya madini,stor nyingiii kama dalali...af anaongea fasta balaa,mara akaanza kutabiria watu,...yaan wanamuita dadii et..wanampigia magoti yan kuongea nae..hyo kwaya imejaa madem wa hatar,wamepiga vimini vya kufa mtu...nje magar ya kifahar yamejaa,nkasema daah,..af waumin weng ni madem

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana Mkuu. Niliwahi kupelekwa hapo wakati fulani na moja ya mtu wangu wakaribu. Siku ya kwanza nikawa sielewi na yeye akawa ananiambia utaelewa tu. Hapa ni pazuri sana. Nikasema ok. Ila hata miezi miwili haikupita niliacha. Naona ibada ya kibinadamu zaidi na siyo ki Mungu.. tunamtukuza sijui g(G) wa Major one ambaye simjui ni Mungu au mungu yupi. Wakianza kumnyenyekea huyo kiongozi wao sasa... nilikuwa nachoka rohoni.
Niseme tu kwamba makanisa kama haya yana waumini wao.... ndiyo kama uliowaona. Pale wanafundishwa Miujiza... ila ukiwauliza mistari ya Biblia ni changamoto.. bado uvaaji wao sasa... Niliona juzi kiongozi wao kaandika kuwajibu Haters ni aibu kwa Kiongozi anayelisha kondoo elfu.... elfu. Hawa ndiyo wanafanya Ukristo na Jina la Yesu linatukanwa na kudhihakiwa. Mungu awape macho ya rohoni waweze kuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina moyo wa kubishana ila ungetaka kuelewa ungeelewa. Yesu hakuhitaji mali kwani zilikuwa ni zake. Tena alijua zilipo. Unakumbuka alipoulizwa kodi alimtuma wapi Petro kuichukua hiyo kodi??
Nasema hivi;
Yule ni mtumishi wa Mungu wake. Mwambieni tajiri wake yaani aliye muajiri amshughulikie.
sawa mkuu hamna haja ya kugombana kisa tuna mitazamo tofauti
 
JOHANNESBURG Controversial church leader Shepherd Bushiri has been arrested.

A statement from the church says he and his wife Mary were arrested by the Hawks on fraud and money laundering charges.

"As you will remember, from last year, we have struggled with reports that our father was guilty. He has been detained and is being questioned by the Hawks in Silverton, Pretoria."

Bushiri spokesperson Maynard Manyowa says: “Police came in the morning to the hotel, picked them up, saying they wanted to talk to them. They wouldn’t tell us exactly why or how. They didn’t take them to as police station, but they took them to the headquarters of the Hawks.”

Early last year, reports emerged that Bushiri was sending about R15 million a month to his birth country Malawi.

It was said the money was transported out of South Africa to Malawi in the pastor’s private jet and a few vehicles.

CRL COMMISSION

Earlier on Friday, the CRL Rights Commission found that the controversial church leader was not responsible for the stampede at his Pretoria church where three people died, saying that the church fully complied with safety regulations.

After a two-day hearing this week into the tragedy, the commission said after due consideration, it found that the church was granted a compliance certificate prior to the service in December last year.

Seventeen other people were injured as they scrambled for cover during a thunderstorm at Bushiri's popular Enlightened Christian Gathering Church.
Anguko lao huja kwa haraka....

Jr
 
Halafu si ajabu hata hujawahi kumwona huyo Bushiri ka mimi. Wala sina haja ya kwenda kumwona pia.

Tulia mkuu Nenda kampigie magoti yule msela Bushir huku ukimuita eti 'dadiiiiiiiiiiiiiiii',hahah


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom