Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Lete taarifa na chanzo vinginevyo utakuwa uzushi.Hiyo ABC news yako ulo iona leo asubuhi. wamekili walikosea kutoa taarifa.na wameomba radhi.na Bushiri anataka kuwashitaki ila Lawyer wake bado anapinga kufungua kesi.hata hivo hawatakiwi kum =sue ugenini. kwa sheria za SADAC.