Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,045
- 79,024
Halafu ni mshenzi huyu nabii hupenda kuiweka Tanzania kwenye bad limelight!
wenyew wana macho ila hawaoni km wanatapeliwaKama wanaona wametapeliwa waache kumpa Bushiri wampelekee wenyewe mungu wao!
Anafanya forexUtajiri alionao yeye kama kiongozi wa dini anafanya biashara gani?
We.bwege kweli umeelewa nlichoandika au umekurupuka. Nipo namba 10 Forbes. Uliza swali jingine.
Huyo gwajima mwenyewe tapeli tu. Hana la maana atakalokujibu zaidi ya kukwambia akale wapi. Endeleeni kuwachangia tu si mnazoHiko kiswali ungemuuliza Gwajima angekujibu fresh sana
Kama wanaona wametapeliwa waache kumpa Bushiri wampelekee wenyewe mungu wao!
Pastor mshkaji wa Ginimbi ana show off ila shughuli zake azieleweki kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupi Ginimbi au Bushir?Alivyokuja Arusha alipewa kabisa escort mpk KIA,masihara haya mjue.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nadhani unatumia vibaya neno "Utapeli". Huenda hujui mahali pa kulitumia. Anaposema; Inuka umtolee Mungu wako" wewe unainuka kwenye kiti, unatoa wallet yako unachomoa huko misimbazi 10 unaenda kuiweka pale mbele kwenye kapu. Hujadanganywa kuwa unayemtolea anakwenda kukununulia ndizi mbivu bali unaambiwa umemtolea Mungu. Huo utapeli umetoka wapi?ndo utapeli huo anasema watu wamtolee mungu halafu ananunua jet
Duh!! Escort ya polisi wa tz?Bushir mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nadhani unatumia vibaya neno "Utapeli". Huenda hujui mahali pa kulitumia. Anaposema; Inuka umtolee Mungu wako" wewe unainuka kwenye kiti, unatoa wallet yako unachomoa huko misimbazi 10 unaenda kuiweka pale mbele kwenye kapu. Hujadanganywa kuwa unayemtolea anakwenda kukununulia ndizi mbivu bali unaambiwa umemtolea Mungu. Huo utapeli umetoka wapi?
Maneno mengi yatatutia hatiani siku moja. Ati kaenda kununua ndege, ulitaka akakope? Mbona kuna kiongozi mmoja alinmunua 6 tena cash.
Kila mtu hula ofisi yake. Sasa ka walikuwa waalim na huku wanachunga kondoo wa Bwana kuoni walikuwa hawatendi haki?? As a full time minister, yu have to be in your office 24/7Zamani viongozi wa kidini walikua na kazi zao waalimu,wahasibu,ma dokta ila siku hizo kazi yao ni kushinda madhabahuni tu huku wakisisitiza michango mwanzo mwisho.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kila mtu hula ofisi yake. Sasa ka walikuwa waalim na huku wanachunga kondoo wa Bwana kuoni walikuwa hawatendi haki?? As a full time minister, yu have to be in your office 24/7
Kwa hii hali ngumu ya maisha nadhani kama kuna mtumishi anayetegemea madhabahu lazima auze mafuta na chumviWatumishi fanyeni kazi,wanakondoo tumechoka na vilio vyenu vya michango mjue.
Sent from my iPhone using JamiiForums