Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Wakenya wamegeuzwa biashara na WHO. Uhuru anapewa chake na shirika la kibeberu, anapima watu na vifaa vilivyojazwa virus feki.
Matokeo yake kila mtu ni corona positive.
Corona is a scam in the first place. Hakuna kitu kama corona. Ni upumbafu na ujinga mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh... Mkuu, hata vifo vinavyosababishwa na huo ugonjwa ni vya kubumba?