Passport ya Tanzania inaweza kukupeleka nchi 72 bila kulipia Visa. Iko nafasi ya 77 duniani kati ya nchi 195

Tanzania passport imeongezewa nguvu duniani sasa mmiliki anaweza kudhuru Jumla ya nchi 72 duniani toka nchi 67 mwaka wa Jana bila kulipia " VISA " hakika hakuna kama Rais Samia.​


Ujio wa Rais Samia Suluhu umevileta karibu karibu kila kitu kuwa rahisi sana kuliko wakati wowote wa Uhai wa Taifa hili,

Rais Samia katika ujenzi wake mpya wa diplomasia ya kimataifa kwa miezi hii michache tumeshuhudia mabadiliko makubwa mbalimbali ya kiuchimi, kidiplomasia,kidemokrasia,Utawala wa sheria,Uhuru wa habari na wanahabari na mengine mbalimbali,

Kitendo hiki kimemfanya Rais wetu haraka akubalike na dunia ndio maana majuzi tumeshuhudia Sweden ikitupatia Tshs 196BL kwaajili ya EPforR ilizosita kutupatia mwanzoni pia tumeshuhudia International monetary Fund ( IMF ) ikitupatia mkopo wa bila riba ( interest free loan ) ya Jumla ya bilioni elfu moja na mia tatu au Tshs 1.3trl,Haya ni matunda ya moja kwa moja ya Rais Samia Suluhu Hassan,

......KAZIIENDELEE......

===================≠===========

👇🏿👇🏿👇🏿​

Tanzanian passport ranks 77 on world's most powerful list​

MONDAY OCTOBER 18 2021​



Passport pic

  • Tanzanian passport grants a holder access to 72 countries globally without the requirement of paying for a visa.

The Tanzanian passport has ranked 77 among the world's most powerful passports, according to the latest report which assesses the influence of global travel documents.
According to research conducted by Henley site, the Tanzanian passport grants a holder access to 72 countries globally without the requirement of paying for a visa.

The Henley Passport Index is the original, authoritative ranking of all the world’s passports according to the number of destinations their holders can access without a prior visa. The index is based on exclusive data from the International Air Transport Association (IATA).

On the list, Tanzania is tied with Kenya on the 77 slot, with both countries having a national passport which allows a holder to gain access to 72 countries without a visa on entry.

The two East African nations are ahead of their neighbours, with Uganda coming in third at number 81 with a passport that allows its holder to enter into 67 territories visa-free. Rwanda is 87 with holders of its passport gaining entry into 61 countries without a visa, while Burundi is placed 97 with 51 countries globally accepting holders of its passport to enter without visa payment. Zambia is ranked 78, a slot behind Tanzania with access to 71 countries without a visa. While the DRC is 106 with access to 42 countries.
Taking top spot is Japan, whose passport allows a holder to enter 192 countries around the world without the need for visa payment.
Tanzania's 2021 performance has improved from the last time it was ranked back in 2018 where the national passport could only enter 67 countries worldwide without the need to pay for a visa.

Source : The Citizen

View attachment 1979571
Ni jambo jema
 
Utawala wa Mama Samia, kwa vigezo vyovyote vile, ni bora mara 100 ya utawala uliopita. Anaenda vizuri japo hatujafika tunapostahili.

Jambo pekee linalomchafua ni kesi ya kumbambikia Mbowe, kesi isiyo na kichwa wala miguu. Baada ya uamuzi wa mahakama, ni vema akichukua hatua dhidi ya Siro na wenzake waliotengeneza kesi, waliowatesa makomandoo wasio na hatia, na kisha kumwua kijana wetu komandoo Lijenje.

Damu ya Lijenje inamlilia Siro na kundi lake la wauaji.

Mama Samia, fanya kila uwezalo ili kuifanya Tanzania kuwa nchi ya mfano kwenye:

1) Demokrasia
2) Uhuru wa watu na vyombo vya habari
3) Utawala wa sheria
4) Maisha ya ustaarabu na utu
5) Ukuuaji wa uwekezaji na uchumi

Achana na zile porojo za kusema demokrasia siyo soda!!
 

Tanzania passport imeongezewa nguvu duniani sasa mmiliki anaweza kudhuru Jumla ya nchi 72 duniani toka nchi 67 mwaka wa Jana bila kulipia " VISA " hakika hakuna kama Rais Samia.​


Ujio wa Rais Samia Suluhu umevileta karibu karibu kila kitu kuwa rahisi sana kuliko wakati wowote wa Uhai wa Taifa hili,

Rais Samia katika ujenzi wake mpya wa diplomasia ya kimataifa kwa miezi hii michache tumeshuhudia mabadiliko makubwa mbalimbali ya kiuchimi, kidiplomasia,kidemokrasia,Utawala wa sheria,Uhuru wa habari na wanahabari na mengine mbalimbali,

Kitendo hiki kimemfanya Rais wetu haraka akubalike na dunia ndio maana majuzi tumeshuhudia Sweden ikitupatia Tshs 196BL kwaajili ya EPforR ilizosita kutupatia mwanzoni pia tumeshuhudia International monetary Fund ( IMF ) ikitupatia mkopo wa bila riba ( interest free loan ) ya Jumla ya bilioni elfu moja na mia tatu au Tshs 1.3trl,Haya ni matunda ya moja kwa moja ya Rais Samia Suluhu Hassan,

......KAZIIENDELEE......

===================≠===========

Tanzanian passport ranks 77 on world's most powerful list​

MONDAY OCTOBER 18 2021​



Passport pic

  • Tanzanian passport grants a holder access to 72 countries globally without the requirement of paying for a visa.

The Tanzanian passport has ranked 77 among the world's most powerful passports, according to the latest report which assesses the influence of global travel documents.
According to research conducted by Henley site, the Tanzanian passport grants a holder access to 72 countries globally without the requirement of paying for a visa.

The Henley Passport Index is the original, authoritative ranking of all the world’s passports according to the number of destinations their holders can access without a prior visa. The index is based on exclusive data from the International Air Transport Association (IATA).

On the list, Tanzania is tied with Kenya on the 77 slot, with both countries having a national passport which allows a holder to gain access to 72 countries without a visa on entry.

The two East African nations are ahead of their neighbours, with Uganda coming in third at number 81 with a passport that allows its holder to enter into 67 territories visa-free. Rwanda is 87 with holders of its passport gaining entry into 61 countries without a visa, while Burundi is placed 97 with 51 countries globally accepting holders of its passport to enter without visa payment. Zambia is ranked 78, a slot behind Tanzania with access to 71 countries without a visa. While the DRC is 106 with access to 42 countries.
Taking top spot is Japan, whose passport allows a holder to enter 192 countries around the world without the need for visa payment.
Tanzania's 2021 performance has improved from the last time it was ranked back in 2018 where the national passport could only enter 67 countries worldwide without the need to pay for a visa.

Source : The Citizen

View attachment 1979571

katika nchi zilizoongezeka kuna nchi yyte ya bara la ulaya?
 
Elimu ni muhimu sana, kwa akili hizi sioni ajabu kwa nini watu wanazungushwa wakienda kufuatilia hati ya kusafiria ilhali imetajwa ni haki kwa kila mtanzania..

Hivi hapa Rais anayesifiwa ana uhusika gani na passport hizi..??
 

Tanzania passport imeongezewa nguvu duniani sasa mmiliki anaweza kudhuru Jumla ya nchi 72 duniani toka nchi 67 mwaka wa Jana bila kulipia " VISA " hakika hakuna kama Rais Samia.​


Ujio wa Rais Samia Suluhu umevileta karibu karibu kila kitu kuwa rahisi sana kuliko wakati wowote wa Uhai wa Taifa hili,

Rais Samia katika ujenzi wake mpya wa diplomasia ya kimataifa kwa miezi hii michache tumeshuhudia mabadiliko makubwa mbalimbali ya kiuchimi, kidiplomasia,kidemokrasia,Utawala wa sheria,Uhuru wa habari na wanahabari na mengine mbalimbali,

Kitendo hiki kimemfanya Rais wetu haraka akubalike na dunia ndio maana majuzi tumeshuhudia Sweden ikitupatia Tshs 196BL kwaajili ya EPforR ilizosita kutupatia mwanzoni pia tumeshuhudia International monetary Fund ( IMF ) ikitupatia mkopo wa bila riba ( interest free loan ) ya Jumla ya bilioni elfu moja na mia tatu au Tshs 1.3trl,Haya ni matunda ya moja kwa moja ya Rais Samia Suluhu Hassan,

......KAZIIENDELEE......

===================≠===========

👇🏿👇🏿👇🏿​

Tanzanian passport ranks 77 on world's most powerful list​

MONDAY OCTOBER 18 2021​



Passport pic

  • Tanzanian passport grants a holder access to 72 countries globally without the requirement of paying for a visa.

The Tanzanian passport has ranked 77 among the world's most powerful passports, according to the latest report which assesses the influence of global travel documents.
According to research conducted by Henley site, the Tanzanian passport grants a holder access to 72 countries globally without the requirement of paying for a visa.

The Henley Passport Index is the original, authoritative ranking of all the world’s passports according to the number of destinations their holders can access without a prior visa. The index is based on exclusive data from the International Air Transport Association (IATA).

On the list, Tanzania is tied with Kenya on the 77 slot, with both countries having a national passport which allows a holder to gain access to 72 countries without a visa on entry.

The two East African nations are ahead of their neighbours, with Uganda coming in third at number 81 with a passport that allows its holder to enter into 67 territories visa-free. Rwanda is 87 with holders of its passport gaining entry into 61 countries without a visa, while Burundi is placed 97 with 51 countries globally accepting holders of its passport to enter without visa payment. Zambia is ranked 78, a slot behind Tanzania with access to 71 countries without a visa. While the DRC is 106 with access to 42 countries.
Taking top spot is Japan, whose passport allows a holder to enter 192 countries around the world without the need for visa payment.
Tanzania's 2021 performance has improved from the last time it was ranked back in 2018 where the national passport could only enter 67 countries worldwide without the need to pay for a visa.

Source : The Citizen

View attachment 1979571
Unajisifia kuwa wa 77?

Amandla...
 
Back
Top Bottom