Passport ya muda(Temporary passport)

C.Thady

JF-Expert Member
Jan 4, 2015
589
151
Habari za mchana wapendwa?.. Nahitaj kusafiri KWENDA Nairobi kwa muda wa siku 2-4 lakn sina passport ya kuingia huko anayejua utaratibu na gharama zake msaada tafadhali..
 
Elfu kumi (pia unatoa 5000/=kama hongo) nusu saa ushamalizana nao. Uwe na barua ya mtendaji anayokutambua kama mkaazi na mtanzania. Uwe na kumbukumbu za kuzaliwa kwa wazazi wako. Hiyo temporary siijui ninayofahamu ni hiyo ya kiasi nilichotaja na hu expire baada ya mwaka.
 
Kwanza unaendea nn Nairobi wewe?
Isije kua unatorosha Tanzanite yetu sasa!!!
 
Total expenses roughly andaa elfu hamsini maximum, hapo napigia hesabu

temporary passport ni 10,000
afidavity ya mzazi utatoa 10,000 kwa mwanasheria
ku~certify kopi za vitambulisho vyako 5,000
mtendaji utampa 2,000 ya mhuri
picha za passport 8,000 (bei inabadilika kulingana na studio na eneo ulilopo)
ukieka na hela za ww kuzungukia hio kitu (nauli za daladala na maji ya kunywa) 5000
*10,000 unakuwa nayo kwa dharura kama kutoa photocopy n.k


Ikiwa unahitaji passport kubwa andaa roughly elfu tisini.

~hapo nmeeka gharama za kihalali pasipo rushwa wala udalali, unajihangaikia mwenyewe kila kitu. Ukitaka mteremko ukae nyumbani uletewe basi zidisha gharama za hapo juu roughly mara mbili hv.
 
Total expenses roughly andaa elfu hamsini maximum, hapo napigia hesabu

temporary passport ni 10,000
afidavity ya mzazi utatoa 10,000 kwa mwanasheria
ku~certify kopi za vitambulisho vyako 5,000
mtendaji utampa 2,000 ya mhuri
picha za passport 8,000 (bei inabadilika kulingana na studio na eneo ulilopo)
ukieka na hela za ww kuzungukia hio kitu (nauli za daladala na maji ya kunywa) 5000
*10,000 unakuwa nayo kwa dharura kama kutoa photocopy n.k


Ikiwa unahitaji passport kubwa andaa roughly elfu tisini.

~hapo nmeeka gharama za kihalali pasipo rushwa wala udalali, unajihangaikia mwenyewe kila kitu. Ukitaka mteremko ukae nyumbani uletewe basi zidisha gharama za hapo juu roughly mara mbili hv.

fundichupi we siyo mtanzania, nimekufatilia majibu yako na mijadala, haujibu kitanzania

samahani kwa nitakaowakwaza......watanzania tunakuwa na majibu mepesi mno....rate ya illiteracy iko juu east africa na nchi za kusini mwa jangwa la sahara
 
Elfu kumi (pia unatoa 5000/=kama hongo) nusu saa ushamalizana nao. Uwe na barua ya mtendaji anayokutambua kama mkaazi na mtanzania. Uwe na kumbukumbu za kuzaliwa kwa wazazi wako. Hiyo temporary siijui ninayofahamu ni hiyo ya kiasi nilichotaja na hu expire baada ya mwaka.
Ndio hiyo hiyo na zinapatikana kwenye ofisi za uhamiaji za wilaya
 
Habari za mchana wapendwa?.. Nahitaj kusafiri KWENDA Nairobi kwa muda wa siku 2-4 lakn sina passport ya kuingia huko anayejua utaratibu na gharama zake msaada tafadhali..
Ukija nipo River road nicheki (kwa nia njema kabisa)
 
fundichupi we siyo mtanzania, nimekufatilia majibu yako na mijadala, haujibu kitanzania

samahani kwa nitakaowakwaza......watanzania tunakuwa na majibu mepesi mno....rate ya illiteracy iko juu east africa na nchi za kusini mwa jangwa la sahara
Sasa unapewa majibu ya ukweli kisha Povu linaanza kukutoka..ama kweli kuna watu mnahitaji kurudishwa shule
 
Hesa
Total expenses roughly andaa elfu hamsini maximum, hapo napigia hesabu

temporary passport ni 10,000
afidavity ya mzazi utatoa 10,000 kwa mwanasheria
ku~certify kopi za vitambulisho vyako 5,000
mtendaji utampa 2,000 ya mhuri
picha za passport 8,000 (bei inabadilika kulingana na studio na eneo ulilopo)
ukieka na hela za ww kuzungukia hio kitu (nauli za daladala na maji ya kunywa) 5000
*10,000 unakuwa nayo kwa dharura kama kutoa photocopy n.k


Ikiwa unahitaji passport kubwa andaa roughly elfu tisini.

~hapo nmeeka gharama za kihalali pasipo rushwa wala udalali, unajihangaikia mwenyewe kila kitu. Ukitaka mteremko ukae nyumbani uletewe basi zidisha gharama za hapo juu roughly mara mbili hv.
Hesabu yako IPO sahihi kabisa. Nimewahi kuipata kwa kiasi hicho.
Ila ID yako Ni shida.
 
Habari za mchana wapendwa?.. Nahitaj kusafiri KWENDA Nairobi kwa muda wa siku 2-4 lakn sina passport ya kuingia huko anayejua utaratibu na gharama zake msaada tafadhali..
Kama uko Dar Nenda tu Kinondoni na picha mbili za passport, uli umalize kidomodomo cha wahusika chukua na barua ya serekari za mitaa na kitambulisho cha mpiga kura au cha kazi .... sh. 10,000 kama sikosei unasubir hapo hapo... ni pale ilala boma
 
Kama uko Dar Nenda tu Kinondoni na picha mbili za passport, uli umalize kidomodomo cha wahusika chukua na barua ya serekari za mitaa na kitambulisho cha mpiga kura au cha kazi .... sh. 10,000 kama sikosei unasubir hapo hapo... ni pale ilala boma
Asanteh sana nimekuelewa
 
Back
Top Bottom