Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Ukweli uliotokea ni nini?Wewe ulikuwa mtoto mdogo wakati wengine tayari tulikuwa watu wazima enzi hizo. Acha kuongea vitu usivyovifahamu.
Ukweli uliotokea ni nini?Wewe ulikuwa mtoto mdogo wakati wengine tayari tulikuwa watu wazima enzi hizo. Acha kuongea vitu usivyovifahamu.
Muulize mtoa mada.Ukweli uliotokea ni nini?
Mtoa mada umeshahamasisha kuwa anapotosha, nipe unaoujua ukweli, kama vipi nirushie mimi tu inboxMuulize mtoa mada.
Hakuna ukweli wowote ndio maana nimekuambia muulize mtoa mada. Hiyo makala ya Sokoine ni ipi. Na ni nani aliyetoa amri ya kutokuingizwa Africa Now?Mtoa mada umeshahamasisha kuwa anapotosha, nipe unaoujua ukweli, kama vipi nirushie mimi tu inbox
Inabidi tumpe taarifa Shonza aende kumtisha mmiliki wa hilo gazeti maana kasema serikali ya sasa hv haijaribiwi
Hakuna ukweli wowote ndio maana nimekuambia muulize mtoa mada. Hiyo makala ya Sokoine ni ipi. Na ni nani aliyetoa amri ya kutokuingizwa Africa Now?
Hadithi za vijiweni.Internet ilitolewa jeshini na kumwagwa uraiani ili kuua uwezo wa serikali za dunia kuzidhibiti habari inayopendwa kama ile story ya AFRICA NOW.
Mbona aliishafika kitambo tu!? Yupo kona anapanga fasihi! One man army he is!Pascal Mayalla unaitwa huku
Umepindisha hadithi ya abunuasi inzi anahusikaAbunuwasi(abunuas) alipokutana na mpita njia mmoja asiyemjua alianza kwa kumtahadharisha kuwa "ewe mpita njia,angalia usije ukanyooka na njia hii hadi pale njia panda,kisha ukakata kushoto na kwenda mbele kidogo kisha ukakunja kulia na kuona nyumba moja kuukuu yenye mlango ambao haujafungwa kisha ukausukuma na kuingia ndani na kukuta sahani iliyofunikwa mezani kisha ukafunua na kukuta chakula kitamu na kukila chote bila kubakisha" yule mpita njia alipojaribu kufuata maelekezo hayo na kukuta ni sahihi na kula chakula kile cha Abunuas,abunuwas alifurahi!! Kwani alipata chanzo cha sababu ya kumtwanga mfalme Rungu la kichwa mchana kweupe! Thumb up pasco
Sijapindisha mkuu ila nimekatisha! Kama yule mtu asingekula kile chakula huyo inzi angesingiziwaje? Ndiyo maana nimeandika "Abunuas alifurahi kwani alipata CHANZO cha SABABU ya kumtwanga mfalme kwa kisingizio kuwa alikuwa akiua inzi!Umepindisha hadithi ya abunuasi inzi anahusika