nyandaojiloleli
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 205
- 18
mayala acha unafiki kuna maendeleo gani Tanzania hii zaidi ya taabu na shida mama zetu wanajifungua sakafuni. Kweli hii ni miaka 50 ya uhuni wa viongozi wa serikali.
mayala acha unafiki kuna maendeleo gani Tanzania hii zaidi ya taabu na shida mama zetu wanajifungua sakafuni. Kweli hii ni miaka 50 ya uhuni wa viongozi wa serikali.
Mayala hawezi kusema vinginevyo. PPR itapoteza tenda na kitumbua chake kitaingia mchanga. Tumemuelewa. Tumbo kwanza ukweli baadaye.Namueshimu sana Paschal
Mkuu Mzito Kabwela, japo hili ni bandiko la zamani, lakini kuna baadhi ya hoja za msingi na za ukweli humu nitazitafutia muda nizijibu.Akiwa kwenye kipindi chake cha PPRA alikuwa akimhoji bwana Utoh wa ofisi ya Mkaguzi wa hesabu za serikali.
Utoh kama nilivyotegemea kuwa anatetea mkate usiingie matope akaanza mapambio ya sifa za miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Akataja idadi ya vyuo vikuu na kilometa za lami zilizoongezeka.
Mayala akatoa wito kwa wanasiasa na wanahababi kuwa wasipinge kila kitu. Baadae kwa msisitizo na kwa umakini akasema, 'nawashauri nduguzangu na member wenzangu wa JF, tuwe wakweli mioyoni mwetu. Serikali imefanya mengi sio tupinge kila kitu. Tukubali tu kuwa tuna maendeleo'
Usisahau na hili tunakumbushana tu.Mkuu Mzito Kabwela, japo hili ni bandiko la zamani, lakini kuna baadhi ya hoja za msingi na za ukweli humu nitazitafutia muda nizijibu.
Msalimie Mkuu TTOZI BWEKA
P