Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,658
- 22,255
Anajua sana ila amechombeza tu.Paschal angejua Trump hata Magufuli hamjui angenyamaza kimya.
Trump ukiondoa South Africa hawa marais wa nchi ndogo ndogo anawajua kwa magroup tu...nilishangaa kusikia MATAGA mmoja anasema Marekani inaionea wivu Tanzania. Labda wanatuonea wivu kwa umaskini wetu na upumbavu wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app