Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,013
- 26,326
Mwandishi yeyote serious aende aka debate na mayalla atakuwa hajipendiPascal anasisitiza kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye maamuzi sahihi yaani yeye ni master diplomat ndio maana Rais Trump wa USA sasa anaiga kutoka Tanzania ikiwemo kufungulia makanisa.
Waje kujadili nini na conclusion umeshatoa, wasukuma sijui mnakwama wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mayalla atamchongea kwa mamlaka indirectly yamkute ya kabendera
Mayalla anapiga jaramba ale uteuzi umri ushaenda around 50 something na Hana pension
Huyu mtu wa kumuepuka Kama ukoma kwa Sasa
Very snitching
Sent using Jamii Forums mobile app