Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 4,476
- 11,026
Acha kumfananisha Mshana jr na vitu vya kijinga
🙏 😀😃😄😁😆😅😂🤣😍Dogo binadamu hawafananishwi, hafu jua kuwa Paschal ni kada mtiifu wa CCM na mtia nia ya Ubunge ambaye jina lake litakatwa, Mshana ni kijana wa makamo ambaye huleta hoja nyingi fikilishi ziwe za ulozi, mapenzi, Siasa, uchumi nk.Paschal amejiegemeza zaidi kutetea watawala wa awamu hii
Mshana Jr ata kuloga hajaribiwi
mtu mmoja muhimu sana
Dogo binadamu hawafananishwi, hafu jua kuwa Paschal ni kada mtiifu wa CCM na mtia nia ya Ubunge ambaye jina lake litakatwa, Mshana ni kijana wa makamo ambaye huleta hoja nyingi fikilishi ziwe za ulozi, mapenzi, Siasa, uchumi nk.Paschal amejiegemeza zaidi kutetea watawala wa awamu hii
Kipindi alifiwa na Mamaake alijulikana sura yake, fiatilia ntuzi za kuhusu msiba wake