johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,845
- 141,767
Mkuu Pascal kwa heshima na taadhima rejea kichwa au heading ya thread hapo juu.
Ukiwa kama mdau mkuu wa maonyesho ya biashara ya sabasaba ukiripoti kutokea viwanjani kilwa road kila mwaka, ningependa kujua mwaka huu utaratibu ukoje.
Nimejaribu kufuatilia katika media kadhaa lakini sijafanikiwa kupata taarifa zinazojitosheleza.
Ni hayo machache mkuu
Maendeleo hayana vyama!
Ukiwa kama mdau mkuu wa maonyesho ya biashara ya sabasaba ukiripoti kutokea viwanjani kilwa road kila mwaka, ningependa kujua mwaka huu utaratibu ukoje.
Nimejaribu kufuatilia katika media kadhaa lakini sijafanikiwa kupata taarifa zinazojitosheleza.
Ni hayo machache mkuu
Maendeleo hayana vyama!